Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Katika pita pita zangu humu nimekutana na uzi wa Wanawake wa Jf wakutane .
Sasa na mimi nimeona siyo Vibaya na wanaume tukakutana kwenye Uzi wetu dhumuni ni kujadili;
____ Maujanja ya kusaka pesa,
____Changamoto katika kazi ,
____ Mbinu za kuwala watoto wakali.
Na mengine mengi kama wanaume wa Jf maana kwenye uzi wao wale mademu wanatunanga sana.
Karibuni sana wanaume wenzangu wa Jf...!
Sasa na mimi nimeona siyo Vibaya na wanaume tukakutana kwenye Uzi wetu dhumuni ni kujadili;
____ Maujanja ya kusaka pesa,
____Changamoto katika kazi ,
____ Mbinu za kuwala watoto wakali.
Na mengine mengi kama wanaume wa Jf maana kwenye uzi wao wale mademu wanatunanga sana.
Karibuni sana wanaume wenzangu wa Jf...!