Wanaume uwezo umeshuka?

Ile ilikuwa beyong recovery!

Dear nothing impossible under the sun. Busara ilikuw aumsaidie atatue tatizo lake na umsaidie ajielewe kuwa ni tatizo maana kama angejielewa angetafuta njia mbadala za kufanya au kulitibu
 
Mi ndo maana japokuwa sigongi hayo ma-valeur wala hizo soup zenu za ajabu huwa sishuki mpaka nipewe ruhusa na baada ya kupewa ruhusa ni another 4 tolerance minutes.
 
ukweli ndo huo banaaa....NGUVU ZIMEWASHUKA UJANJA MWINGIIII HAWNA LOLOTE NADHARIA ZMEWAJAA VTENDO NEHIIIII....wako tofauti na babu zetu zaman..(dont ask me ulijuaje ao mababu...)

mavyakula aya yanawaharibu ..mwanaume daily mnapanga folen wote kwenye chps mayai..no mazoez no wat..wengne sasa akitoka ndani ya gari kafka ofcn chapat 4 nyama furushi akimaliza apo mchana baga,au wali nyama huoooo na bia za kushushia ...jion ikifika ndan ya gari kwa masssawe mbuzi paja na bia za kutosha.....yaan yeye ni kula kulala hana zoez hata kdogo ..sasa apo unategemea nin?

lakin wazee wetu zaman...asubui ni kitu fresh km ni ugali dona na mboga chukuchuku then uyooo shamba...na shamba lenyewe lipo km 10 toka home anatembea ( jogng iyo) kafika shamba kaz nzito (ni zoez tena ilo) anarud tena home km 10 ... akirud home bas km ni pombe basi pure azna kemikali mbege sjui dengua ,ulanzi...kisusio chake mboga za majan ...sasa apo unategemea nin?mtu anakuwa very strong..LAKIN MFUMO WA MAISHA YA SASA NI TAFAUUUT kabsa ..matokeo yake ndo ayo mtu kufanya mazoez inabd awe amekata shauri toka moyon la sivyo matokeo yake ndo ayo...full kunywa konyagi..pweza...lasivyo mtarimbo doro km si doro 1minute mtarimbo.....WANAUME FANYEN MAZOEZ KDG YATAWASAIDIA ..MAISHA ya ofcn bar home yatawakost...mahaus boy full kufanya kaz zote...POLEN.

M NOT READY FOR BATTLE...aman aman km nimekukwaza nipotezeee me love u...

Mh! akyamaulana! umeikomelea utadhani alikuharifu kabla hajaipost hapa! manake haya majibu ni ya kitaalumu kabisa! mi no komenti kabisa hapa.
 
Tatizo wanawake wengi wamebaki wanawake sketi,hawajui nini mme ale na asile wanashinda wanazurura,kupika hawataki alafu anarudi na vichips eti ndo chakula cha usiku cha mmewe na bado anakutegemea usiku upige kazi,bnafsi nikila chips achilia mbali jogoo kuwika hata kusimama huwa hasimami,hata ukinipa k.m. Kamwe siigusi

Mwanamke andaa mihogo,viazi vitamu,viazi ulaya,magimbi,supu ya sato wabichi,dona,n.k alafu uone shuguri yake,tena mie nasema wanawake washukuru hii hali kuwepo make kama wanaume wangekuwa wote wako gado acha wale wenye vitambi,******,maziwa,n.k basi enzi hizi wanaume tungeoa hata bila kutoa posa..

ONYO: Wanaume ni lazima tubadilike,wake zetu wa leo ni wa plastic hawajuhi tena kukea,wao wanajua bata tu,sasa ni lazima tujitafutie vyakula vyetu vya asili,mkiendelea kula chips,wali na upupu mwingine wa supermarket itakula kwenu.
Hili ndilo jibu la thread
 
  • Thanks
Reactions: mja
Wanaume wana kazi siku hizi maana ukiacha mapungufu yao, kuna changamoto za kina dada wasagaji, bongo feminist(hamna haiba ya kike), na wanaojichua. Kidume ukikutana na sampuli mojawapo kati ya hizi kibarua kinakuwa kigumu zaidi.
 
Kuna wengine naturally weak, kuna mkaka mmoja tall, black, handsome, hana kitambi na anaingia gym, nilimuadmire da first day I saw him so baada ya muda we fall, mmmmh less than a second was off! nikadhani ugeni then again less than a second dah nilimuambia tu basi sitaki tena, yaani, tumebaki just friends will nt repeat hata aje na private jet! lol

Sasa wewe ulimpa vitu hadimu (Mtandao). we unategemea nini??
 
kwani kufika kileleni ndo aje kweli kuwa serias mimi sijawai nasikiaga tu. Kama wewe ni mwanaume utajuaje mwanamke wako kafika? Na kama wewe ni mwanamke utajuaje nimefika?

bebii, are u baby, or what..??? hakuna kitu kizuri kwa mwana mama kufika climax.. na areal man ( i'm , no need to booster ), atajua kama mwenza wake amefika kileleni.. its natural... u do not need to fight.. differentiate sex and making love... that's where u will understand ... no kukomoana, no booster, no nothing...
cheeers
 
with due respect , sio lazima ukake kwa nusu saa, foreplay must last longer, na kuiingi kati, less that 10 minutes you both in heaven...

Ndo maana wanasema utaaalamu na matumizi ya viungo mbalimbali sio umekaa pale juu kw adak ngapi ila je wote mko satisfied
 
ukweli ndo huo banaaa....NGUVU ZIMEWASHUKA UJANJA MWINGIIII HAWNA LOLOTE NADHARIA ZMEWAJAA VTENDO NEHIIIII....wako tofauti na babu zetu zaman..(dont ask me ulijuaje ao mababu...)

mavyakula aya yanawaharibu ..mwanaume daily mnapanga folen wote kwenye chps mayai..no mazoez no wat..wengne sasa akitoka ndani ya gari kafka ofcn chapat 4 nyama furushi akimaliza apo mchana baga,au wali nyama huoooo na bia za kushushia ...jion ikifika ndan ya gari kwa masssawe mbuzi paja na bia za kutosha.....yaan yeye ni kula kulala hana zoez hata kdogo ..sasa apo unategemea nin?

lakin wazee wetu zaman...asubui ni kitu fresh km ni ugali dona na mboga chukuchuku then uyooo shamba...na shamba lenyewe lipo km 10 toka home anatembea ( jogng iyo) kafika shamba kaz nzito (ni zoez tena ilo) anarud tena home km 10 ... akirud home bas km ni pombe basi pure azna kemikali mbege sjui dengua ,ulanzi...kisusio chake mboga za majan ...sasa apo unategemea nin?mtu anakuwa very strong..LAKIN MFUMO WA MAISHA YA SASA NI TAFAUUUT kabsa ..matokeo yake ndo ayo mtu kufanya mazoez inabd awe amekata shauri toka moyon la sivyo matokeo yake ndo ayo...full kunywa konyagi..pweza...lasivyo mtarimbo doro km si doro 1minute mtarimbo.....WANAUME FANYEN MAZOEZ KDG YATAWASAIDIA ..MAISHA ya ofcn bar home yatawakost...mahaus boy full kufanya kaz zote...POLEN.

M NOT READY FOR BATTLE...aman aman km nimekukwaza nipotezeee me love u...


Hapo kwenye rangi ndio maneno yote yapo hapo pia uvutaji wa sigara ambao unamaliza sana nguvu lakini watu wamo tu wanamaliza mapacket mawili au hata matatu kwa siku.
 
ukweli ndo huo banaaa....NGUVU ZIMEWASHUKA UJANJA MWINGIIII HAWNA LOLOTE NADHARIA ZMEWAJAA VTENDO NEHIIIII....wako tofauti na babu zetu zaman..(dont ask me ulijuaje ao mababu...)

mavyakula aya yanawaharibu ..mwanaume daily mnapanga folen wote kwenye chps mayai..no mazoez no wat..wengne sasa akitoka ndani ya gari kafka ofcn chapat 4 nyama furushi akimaliza apo mchana baga,au wali nyama huoooo na bia za kushushia ...jion ikifika ndan ya gari kwa masssawe mbuzi paja na bia za kutosha.....yaan yeye ni kula kulala hana zoez hata kdogo ..sasa apo unategemea nin?

lakin wazee wetu zaman...asubui ni kitu fresh km ni ugali dona na mboga chukuchuku then uyooo shamba...na shamba lenyewe lipo km 10 toka home anatembea ( jogng iyo) kafika shamba kaz nzito (ni zoez tena ilo) anarud tena home km 10 ... akirud home bas km ni pombe basi pure azna kemikali mbege sjui dengua ,ulanzi...kisusio chake mboga za majan ...sasa apo unategemea nin?mtu anakuwa very strong..LAKIN MFUMO WA MAISHA YA SASA NI TAFAUUUT kabsa ..matokeo yake ndo ayo mtu kufanya mazoez inabd awe amekata shauri toka moyon la sivyo matokeo yake ndo ayo...full kunywa konyagi..pweza...lasivyo mtarimbo doro km si doro 1minute mtarimbo.....WANAUME FANYEN MAZOEZ KDG YATAWASAIDIA ..MAISHA ya ofcn bar home yatawakost...mahaus boy full kufanya kaz zote...POLEN.

M NOT READY FOR BATTLE...aman aman km nimekukwaza nipotezeee me love u...
dada kweli na uko juu sana maana hayo ndiomyanasababisha
 
Back
Top Bottom