Wanaume uwezo umeshuka?

Mamndenyi hebu nipe hiyo diet maana mimi huwa ndo napenda hivyo ila bado niko stable kweney fani

hii hapa

vyakula.png
 
Chps mayai zimewamaliza vijana wa siku hizi,wanasema ugali unawaumiza matumbo.Hayo ndio matokeo yake.
 
Chps mayai zimewamaliza vijana wa siku hizi,wanasema ugali unawaumiza matumbo.Hayo ndio matokeo yake.

Kabisa mkuu na hawapendi hata kufanya mazoezi wala kula vyakula vya asili wao na chips mayai na burger na kuku wa kisasa
Vyakula vya supermarket
 
Tatizo wanawake wengi wamebaki wanawake sketi,hawajui nini mme ale na asile wanashinda wanazurura,kupika hawataki alafu anarudi na vichips eti ndo chakula cha usiku cha mmewe na bado anakutegemea usiku upige kazi,bnafsi nikila chips achilia mbali jogoo kuwika hata kusimama huwa hasimami,hata ukinipa k.m. Kamwe siigusi

Mwanamke andaa mihogo,viazi vitamu,viazi ulaya,magimbi,supu ya sato wabichi,dona,n.k alafu uone shuguri yake,tena mie nasema wanawake washukuru hii hali kuwepo make kama wanaume wangekuwa wote wako gado acha wale wenye vitambi,******,maziwa,n.k basi enzi hizi wanaume tungeoa hata bila kutoa posa..

ONYO: Wanaume ni lazima tubadilike,wake zetu wa leo ni wa plastic hawajuhi tena kukea,wao wanajua bata tu,sasa ni lazima tujitafutie vyakula vyetu vya asili,mkiendelea kula chips,wali na upupu mwingine wa supermarket itakula kwenu.
 
Tatizo wanawake wengi wamebaki wanawake sketi,hawajui nini mme ale na asile wanashinda wanazurura,kupika hawataki alafu anarudi na vichips eti ndo chakula cha usiku cha mmewe na bado anakutegemea usiku upige kazi,bnafsi nikila chips achilia mbali jogoo kuwika hata kusimama huwa hasimami,hata ukinipa k.m. Kamwe siigusi

Mwanamke andaa mihogo,viazi vitamu,viazi ulaya,magimbi,supu ya sato wabichi,dona,n.k alafu uone shuguri yake,tena mie nasema wanawake washukuru hii hali kuwepo make kama wanaume wangekuwa wote wako gado acha wale wenye vitambi,******,maziwa,n.k basi enzi hizi wanaume tungeoa hata bila kutoa posa..

ONYO: Wanaume ni lazima tubadilike,wake zetu wa leo ni wa plastic hawajuhi tena kukea,wao wanajua bata tu,sasa ni lazima tujitafutie vyakula vyetu vya asili,mkiendelea kula chips,wali na upupu mwingine wa supermarket itakula kwenu.

Apike saa ngapi mkuu wakati yuko kazini twenty four seven na kucha na nywele zake zitaharibika
tatizo na wao hawalioni hilo tatizo wanaishia kutulaumu kuwa tumekuwa so weak siku hizi na hawajui kuwa hilo tatizo wanalisababisha wao
 
Tatizo wanawake wengi wamebaki wanawake sketi,hawajui nini mme ale na asile wanashinda wanazurura,kupika hawataki alafu anarudi na vichips eti ndo chakula cha usiku cha mmewe na bado anakutegemea usiku upige kazi,bnafsi nikila chips achilia mbali jogoo kuwika hata kusimama huwa hasimami,hata ukinipa k.m. Kamwe siigusi

Mwanamke andaa mihogo,viazi vitamu,viazi ulaya,magimbi,supu ya sato wabichi,dona,n.k alafu uone shuguri yake,tena mie nasema wanawake washukuru hii hali kuwepo make kama wanaume wangekuwa wote wako gado acha wale wenye vitambi,******,maziwa,n.k basi enzi hizi wanaume tungeoa hata bila kutoa posa..

ONYO: Wanaume ni lazima tubadilike,wake zetu wa leo ni wa plastic hawajuhi tena kukea,wao wanajua bata tu,sasa ni lazima tujitafutie vyakula vyetu vya asili,mkiendelea kula chips,wali na upupu mwingine wa supermarket itakula kwenu.
mimi wa kwangu nitampa mavyakula ambayo kwa mwezi ni mara moja inashtuka nani anataka kujitesa wewe? kazi zenyewe zashida siku nzima, mafoleni, then ukapukutishwe usiku kucha mwee, utapumzika saa ngapi jamani unataka tuzeeke mapema nd ivo mnanyimwa kijanja mafuta kushnei
 
Kaka hapo unakuwa hujamkomoa, kumbuka umetumia extra energy 'kumkomoa' kwa akili yamwanaume utaona umemkomoa kumbe ndo kwanza umejiumiza ww, hayo ma pombe/viagra yanama side effect kama kuumwa kichwa, kuchoka saana next day, pressure na kujisikia kujihisi homa nk nk.. haujui yy ni sugu kiasi gani? au kufanya vile ndio kwanza umemridhisha yeye, sababu amefika kigoma... tusifanye kukomoana kwani hasira za mkizi.....

Mzee ukianza kutafuta side effect hata sufuria au kijiko unacho lia chakula kila effect.
Lakini mara moja kwa mwaka sio mbaya na yeye akakande nyuchi wiki nzima
 
mimi wa kwangu nitampa mavyakula ambayo kwa mwezi ni mara moja inashtuka nani anataka kujitesa wewe? kazi zenyewe zashida siku nzima, mafoleni, then ukapukutishwe usiku kucha mwee, utapumzika saa ngapi jamani unataka tuzeeke mapema nd ivo mnanyimwa kijanja mafuta kushnei

Then akitoka nje usije kulalamika kuwa unaonewa
 
Hili ndo tatizo kubwa kabisaaaa,ndo maana hata vyuoni
wanafunzi utawakuta wana jishika matumbo mda mwingi,eti wanafuga "kitambi"

Sasa ina maana gani?wakuone unahela (may be yes/no) afu baadae wakudharau
kwamba jamaa anahela lakini 6*6 ni boya tu,....men

Bora nibaki nilivo,wether ninahela au sina hela lakini nafurahia mambo ya kikubwa,....
Haha,hao wenye matumbo nasikia wanaishiaga kuomba "walambwe corn" haha

Ndo hivyo mkuu mademu wazuri mjini ndo maana wanaishia kuchukuliwa na wenye vitambi
 
atoke nguvu anayo? labda kwa valuu zenu na wachina

Kwa hiyo wewe unatafuta kummaliza nguvu ili awe joka la kibisa eehhh huko nyumbani uwe unamuendesha kama remote kule unakotaka wewe si ndio manake
 
Mzee ukianza kutafuta side effect hata sufuria au kijiko unacho lia chakula kila effect.
Lakini mara moja kwa mwaka sio mbaya na yeye akakande nyuchi wiki nzima

Ha ha haaaaa, .... ile kitu roho inapenda
 
Sasa kwanin umwache mmeo ale chips na mayai tu ilhali ukijua kabisa ndani ya mda mfupi jogoo hatawika tena?akina dada wengi ndo mizigo mmekuwa wanawake sketi hamjuhi tena kupika home,hamjuhi mwanaume anatakiwa ale nini na asile nini kazi yenu ni kuzurura alafu unarudi na vichips eti ndo chakula cha usiku,bnafsi nikila chips hata jogoo hasimami mbali ya kuwika,mpe mmeo magimbi,miogo,viazi,supu ya samaki alafu uone shughuri yake,weeeh!

Nimebaki nakushangaa kama wewe mwenyewe hujui ule nini mie ndo ntajua
piili itategemea na pesa utakayoa acha
tatu mnataka na sie tulipe pesa za kodi sawa na nyie pamoja na ada ya watoto
saa ngapi tutakaachini tupike
aku mie nipishe
 
Kwa hiyo wewe unatafuta kummaliza nguvu ili awe joka la kibisa eehhh huko nyumbani uwe unamuendesha kama remote kule unakotaka wewe si ndio manake
kwani akili zake si anabaki nazo jamani.?
 
wanaume mnashangaza sana hv unafikiriaje eti nitamridhishaje mtu wakati hata huna experience naye.ina maana ujajijua una tatizo na sio wanawake wana tatizo.msitusingizie
 
Back
Top Bottom