Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
sema tu hujui?Muulize mama atakusaidia.
sema tu hujui?Muulize mama atakusaidia.
wee ni process ambazo tumejaaliwa wachache ina techniq 7kwani kufika kileleni ndo aje kweli kuwa serias mimi sijawai nasikiaga tu. Kama wewe ni mwanaume utajuaje mwanamke wako kafika? Na kama wewe ni mwanamke utajuaje nimefika?
Tatizo mmekuwa sugu sana, haswa wewe Rose.
unakunywa ili iweje? mi sielewi kwa faida ya nani hapo inakuwa?Ivi unampata mtu kama MR aliyepata sugu kwa kuchungulie lile jukwaa,, afu usimnywee si atakudharau?
lakin jaman asi wewe apo ndo umenisababishia kuwa sugu?
fanya tizi bana..punguza manyama,baga,machps na ule vtu asilia ..mi ntakukimbia mda si mrefu..
<br /><br />kwani kufika kileleni ndo aje kweli kuwa serias mimi sijawai nasikiaga tu. Kama wewe ni mwanaume utajuaje mwanamke wako kafika? Na kama wewe ni mwanamke utajuaje nimefika?
mi niko zaidi ya 22 hilo tatizo la network antena ndo likoje?<br />
<br />
mwanaume atakayekuwa wa kwanza kufikisha kileleni utakuja muhudu mno, atakutesa usipokuwa makini, ikiwa hujawahi fika kileleni, inawezekana unatatizo la network antenna! ama umri wako ni chini kidogo ya 20 na si zaidi ya 22, na huna mtoto. ukikidhi vigezo utalijua jina la alexander nyirenda, bendera ya taifa na kibo peak!!!
Wa baba kuleni vyakula vinavyoeleweka, unamkuta mkaka naangiza mi nataka matunda, eti ndo lunch, usiku nyama choma na ndizi moja, unategemea usiku kuna kitu kweli au ndo mwili uko nyororo.
<br />mi niko zaidi ya 22 hilo tatizo la network antena ndo likoje?
hapa ndio WANGONI tunawapiga bao! kule kwetu kuna matunda mengi ya asili. fikiria daily mtu anaiga mapwete(yapo km matango lkn yana mibamiba) madonga, masuku, mangatungu(yapo km maharage lkn yenyewe makubwa) fikiria hiyo menu haya sasa bd msosi mboga likolo na nanyungu, namgujulu mboga ya manyonyoli, lidelelele samaki kuna mbasa mbelele na dagaa nyasa! hahaaaaaa hiyo menu ipige three month viagra nyumaa. kwa nini akina dada wanatufagilia tuko moto mnooo!!! kuna siku demu alishawahi nikimbia eti mbona mtanange wa moto namna hiyo ntamuua hahaa . jamani wanaume kuleni vyakula vya asili haya ma baga sijui nini yanawashushia heshima shauri yenu!
aku babu kuuuuuuuuuubwa kama ya kwako<br />
<br />
mtoto huna, ni kweli! network antenna (ukeketaji) mutilation of female genital, hujaathirika na hilo?
<br />Sasa mkuu uko huko kijijini mjini hata dagaa wameshawekwa kwenye packet na kuwekwa madawa ili wasiharibike na kama ni maharage yamekaa stoo na yamewekwa dawa kibao . Hivyo hata useme utakula dagaa na maharage na sijui mchicha huo unaolimwa kwenye mabonde ambako maji ya kumwagilia ni yale yanayotoka kweney viwanda vyenye chemicals kibao usifikirie kuna kitu hapo. tena ndo unajiua kabisa
<br />
<br />
nakubaliana na wewe hasa kwa hapa mjini dar na mikoa michache sana lkn sehemu nyingi za nchi hii watu wanalima hizo mboga kwenye mashamba yao. nunua dagaa wasifungwa kwenye vifungashio mbona wapo wengi tuu. samaki mimi huwafuata pale ferry kwenye mnada na si hawa wa makopo au wa mwanza wanaokaa kwenye majokofu kwa miezi hata sita. nnapokaa nje nimepanda matembele nnayamwagilia na maji ya dawasa labda clorine inidhulu