RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
siyo kila Hoteli ina masink WC kwa taarifa yako mimi nwenyewe nilishuhudia jamaa Pale mnazi mmoja akisukutua na kutema mate wakati wengine tukila chakula.
Kigarama naamini unamaanisha MGAHAWA.
Manake kule kijijini kwetu hata banda la mama lishe twaita HOTEL.
Otherwise nitajipima kupitia list yako nione wapi nachemka, manake mambo haya bila wito ni kazi ngumu kweli.