Hahahahah hunipendi kweli !! Yaaan unaniruhusu kuchepuka??We wachepue tu lkn wakati huo uwe unanikumbukiapo mimi, japo najua hakuna wa kukupa raha km zangu
Poa bestMambo swit sasha
Mbona nakupenda jamani, jiaminiHahahahah hunipendi kweli !! Yaaan unaniruhusu kuchepuka??
Wala najiamin mnooooo ..hofu yangu nikuniruhusu kuchepuka ,,kweli baby Wangu nimzuungu !!!!.Mbona nakupenda jamani, jiamini
Kwani amekosea? ?au hatupaswi kuulizwa masononeko yenu?Yaani kabisaaaa umewauliza hilo swali!!!
Tena haswaa anakupenda ila anachokitafuta kule wee unakuwa huna mfano unalo tako huna sura, una tako huna mahaba na mengineyo.Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?
Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Tumeruhusiwa wanne, sasa mmoja yuko ndani, wapili utampataje bila kutongozaSio akawa mwingine kaoa Kabisa bado anatongoza. Mapenzi hayana Formula inawezekana kweli ama sikweli
Nyinyi mbona hamna uaminifu na mnakuwaga rahisi kutongozwa?Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?
Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Yah ni kweli pengine kuna kitu kina mseduce wa ndani HanaTumeruhusiwa wanne, sasa mmoja yuko ndani, wapili utampataje bila kutongoza