swit sasha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 270
- 205
- Thread starter
- #41
Kwahiyo mwanaume akinijali inatosha, hata akisaliti ni poa?Ni kweli kbsa anatoka nje kama kawaida
Kuja unapendwa Pima ujali wake kwako
Kwahiyo mwanaume akinijali inatosha, hata akisaliti ni poa?Ni kweli kbsa anatoka nje kama kawaida
Kuja unapendwa Pima ujali wake kwako
Double standard zipo, the world is not fair to women when it comes to relationshipJe na nyie mnaweza kutuvumilia tukitamani mishidede ya aina tofauti tofauti? Au kuna double standards?
HahaaaaKwani we hupendwi na wengine
Wabaya sana Hawa...Kumbe wanaume ndivyo mlivyo
Kuna vitu hivi usababisha wanaume kutongozaMambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?
Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Mwanamke anampenda mwanaume kwa kumzoea.Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?
Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Reality ni kwamba wanaume hatujaumbiwa mwanamke mmoja na tunapotongoza mwanamke mwingine haimaanishi haupendwi bali tunaujua ukweli kwamba Nampenda Flani tena kwa dhati ila unatongoza kwa ziada tu..ndio maana mara nyingi ata mwanamke akijua mwanaume akicheat ni rahisi maana real love anajua iko wapi tofauti na nyie wanawake huwa mkichepuka ndo baas tena thats why sisi wanaume huwa ni Ngumu kuwasamehe wanawake wasaliti maana wao wakisaliti wanahamia Jumla hawakumbukagi Nyuma!Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?
Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Kinyume cha hapo, anakuektia huyo!Kumbe wanaume ndivyo mlivyo
There you are, i got you my brother for admitting that the world it's not fair to women when it comes to relationships issues! I think something has to be done we are tired of being the victims!Double standard zipo, the world is not fair to women when it comes to relationship
Jaribu uone kama ndg, jamaa na marafiki watakuwa upande wako
Asilimia kubwa dada angu ndvo tulivo...Mambo wana jf, Nina swali fupi tu hivi mwanaume anaweza akawa anampenda mwanamke na bado akawa anaendelea kutongoza wanawake wengine?
Kuna mapenzi kweli hapo au udanganyifu?
Mimi napenda wenye chura na vimbaombao kwa mpigo!!Kumbe wanaume ndivyo mlivyo
Kwa hiyo unawapenda wote au wawili tuMimi napenda wenye chura na vimbaombao kwa mpigo!!
HahahahahahahahahahahahahaMimi napenda wenye chura na vimbaombao kwa mpigo!!
Ndo maana nawachukia sometimeKinyume cha hapo, anakuektia huyo!