Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Mimi nimekuwa nikifiria mara nyingi sana inakuwaje ss madume una wife/demu unampenda na ukimega unaridhika lakini bado ukiona demu mwingine unatamani na akiingia kwenye 18 zako unamega vilex2 na sasa nimefikia conclusion kwamba kwa kiasi kikubwa hawa dada zetu ndio wanatupelekea sana katika hilo. Yaani huko mitaani ni full ngonongono na kutegana especially ukiwa mtu fulani unajimudu. Tunasemaje wakuu?