Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,211
it's morning again, ngoja nikaoge, we mwanaume usioge maji ya moto, wanaume wakioga maji ya moto sio vizuri, inaua mbegu za kiume, utashindwa pata mtoto ....naenda kazi bila kuoga nisije kosa mtoto.
oky, ngoja niwashe gari niende ofisini... ok lakini usipende kuendesha gari sana, kwani linaleta joto sehemu za siri, sio vizuri kwa wanaume, jaman, mi naenda tu, ofisini mbali....
kabla sijaingia ofisini, ngoja nipite hapa nipigie chai ata na chapati mbili, stooop, acha kabisa, chai si nzuri kwa wanaume,,, ok basi nipe chapati kavu, usipende vitu vya mafuta sana sio vizuri kiafya ata mfumo wa uzazi pia... basi acha naenda ofisini
kaka mida ya lunch, twenzetu, aya makazi yapo tu... Dada mi nipe ugali na nyama, unga wa sembe sio mzuri kiafya, usipende kutumia, kama ni dona sana, ata iyo nyama nyekundu sio nzuri kabisa acha ndugu yangu.. kaka mi narudi ofisini we kula tu. sina mtoto ata mmoja
bora mida ya kazi imeisha, ngoja nipite hapa kwenye kikao cha harusi then niende nyumbani kwa wife.... kaka unakunywa nini? nipatie Serengeti ya moto, kaka bia ndo mbaya zaidi acha, inaua nguvu za kiume na mfumo wa uzazi, basi nipe soda, soda ndo kabisaaaaa, acha! jamani mi naenda nyumbani nimechoka sana
vipi wife leo umepika nini? ata sijapika ndo nafika toka ofisini, nimechukua chips kuku. usiguse ndugu yangu, tena chips ukiweza usiguse kabisa... mi nalala ma wife we kula tu..
jaman, tuishe vipi sie watoto wa kiume? tusaidieni ma doctors ..
oky, ngoja niwashe gari niende ofisini... ok lakini usipende kuendesha gari sana, kwani linaleta joto sehemu za siri, sio vizuri kwa wanaume, jaman, mi naenda tu, ofisini mbali....
kabla sijaingia ofisini, ngoja nipite hapa nipigie chai ata na chapati mbili, stooop, acha kabisa, chai si nzuri kwa wanaume,,, ok basi nipe chapati kavu, usipende vitu vya mafuta sana sio vizuri kiafya ata mfumo wa uzazi pia... basi acha naenda ofisini
kaka mida ya lunch, twenzetu, aya makazi yapo tu... Dada mi nipe ugali na nyama, unga wa sembe sio mzuri kiafya, usipende kutumia, kama ni dona sana, ata iyo nyama nyekundu sio nzuri kabisa acha ndugu yangu.. kaka mi narudi ofisini we kula tu. sina mtoto ata mmoja
bora mida ya kazi imeisha, ngoja nipite hapa kwenye kikao cha harusi then niende nyumbani kwa wife.... kaka unakunywa nini? nipatie Serengeti ya moto, kaka bia ndo mbaya zaidi acha, inaua nguvu za kiume na mfumo wa uzazi, basi nipe soda, soda ndo kabisaaaaa, acha! jamani mi naenda nyumbani nimechoka sana
vipi wife leo umepika nini? ata sijapika ndo nafika toka ofisini, nimechukua chips kuku. usiguse ndugu yangu, tena chips ukiweza usiguse kabisa... mi nalala ma wife we kula tu..
jaman, tuishe vipi sie watoto wa kiume? tusaidieni ma doctors ..