Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Keren_Happuch you talk senseKwani kuna mtu anapenda kuambia anachukiwa......mhhhhh!!!!!
Keren_Happuch you talk senseKwani kuna mtu anapenda kuambia anachukiwa......mhhhhh!!!!!
Good One.Good you are learning... But hata hivyo uhusiano wetu unaruhusu .... nitajua kweli you love me sio kunitamani.... lol...
How sweet!yesssss nikiwa kwenye mood ya kufanya hivyo
Hahahaha!!! LolKwani kuna mtu anapenda kuambia anachukiwa......mhhhhh!!!!!
Hakuna wa kumlalamikia mwenzake, accusing of illdoings, thats what i meant
Wanionea bebii, nianzie wapi kuifunga,we sigma hii thread ya kwako hadi uifunge? we vp? inakuuhusu eeh?
Hahahaha!!! Lol
Thubutu, na vocha atamuomba nani???Bebiii we cha kufanya mtu akikurushia I LOVE YOU kabla hata hajajua jina lako la mwisho na primary ulisoma wapi unampotezea tu...
Kwani kabla ya huyo MR. I LOVE YOU alikua anamuomba nani?!Thubutu, na vocha atamuomba nani???
Wanawake na I MISS YOU.
I hate to hear 'I love you' kama salamu!..naona haina meaning ikizidi)
Hata mimi sipendi kuambiwa nachukiwa lol!!mhhhhhh!!!.......................................
Kwani kabla ya huyo MR. I LOVE YOU alikua anamuomba nani?!