Wanaume na I LOVE YOU

Sasa jamani.........utajuaje hii "I LOVE YOU" ni ya kweli, na hii "I LOVE YOU" ni ya uongo????!!!!...........msaada wajameni???
 
My best friends most ni guys... almost woote ni wale walinitongoza
ikaonekana hawawezi kua ..... Thus they turn out to be really GREAT friends...

Hua naanza na hio strategy yako... "Keep your friend close, your enemy Closer"
Alafu at the end wanakua sio enemies tena for wanakua BFFs
Need me say more?
 
TF the said house was destroyed by fire last night


Hilo neno lina maana kubwa sana kwa anayeambiwa na anayetoa so msilichukulie kiurahis rahisi hivyo
Really! I just walked out of it this morning.
 
Kumbe na kwenye mapenzi kuna uchina eeh so utajuaje hii mbrother ni original na mlove u wake?
 
Sasa jamani.........utajuaje hii "I LOVE YOU" ni ya kweli, na hii "I LOVE YOU" ni ya uongo????!!!!...........msaada wajameni???
Siri ya anayesema.
Difficult to read someone's mind. And akikuambia "I love" Ya kisanii atafanya sanaa kamwe huta-doubt. Labda umkamate ugoni
 
Listen dia!Is not that simple!Kuna I LOVE U za kichina nyingi sana siku hizi!

Hilo ndo tatizo nafikiri, ndo maana bebii akaja na hii thread.............

Nilichokuwa nataka kusema, it is not easy at all...........inahitaji "research" ili kujua hii ni ya uongo.........mhhhh!!!
 
Back
Top Bottom