muwaha
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 740
- 148
Siku zote shida yetu kubwa ni kuonja utamu, na hatupendi kufuga ng'ombe,then we start chasing another antelope!Nachukia sana mauongo yenu wanaume
Siku zote shida yetu kubwa ni kuonja utamu, na hatupendi kufuga ng'ombe,then we start chasing another antelope!Nachukia sana mauongo yenu wanaume
Basi, basi, basi babe oh! sorry bebii, naahidi kwa niaba ya wenzangu tutasema ukweli wakati wa "kukutokea."Nachukia sana mauongo yenu wanaume
Nachukia sana mauongo yenu wanaume
Need me say more?My best friends most ni guys... almost woote ni wale walinitongoza
ikaonekana hawawezi kua ..... Thus they turn out to be really GREAT friends...
Hua naanza na hio strategy yako... "Keep your friend close, your enemy Closer"
Alafu at the end wanakua sio enemies tena for wanakua BFFs
Really! I just walked out of it this morning.TF the said house was destroyed by fire last night
Hilo neno lina maana kubwa sana kwa anayeambiwa na anayetoa so msilichukulie kiurahis rahisi hivyo
SquareHell Nooo!!!! lol
Listen dia!Is not that simple!Kuna I LOVE U za kichina nyingi sana siku hizi!Sasa jamani.........utajuaje hii "I LOVE YOU" ni ya kweli, na hii "I LOVE YOU" ni ya uongo????!!!!...........msaada wajameni???
Siri ya anayesema.Sasa jamani.........utajuaje hii "I LOVE YOU" ni ya kweli, na hii "I LOVE YOU" ni ya uongo????!!!!...........msaada wajameni???
Too bad, they all seem genuine.Listen dia!Is not that simple!Kuna I LOVE U za kichina nyingi sana siku hizi!
Listen dia!Is not that simple!Kuna I LOVE U za kichina nyingi sana siku hizi!
Sasa jamani.........utajuaje hii "I LOVE YOU" ni ya kweli, na hii "I LOVE YOU" ni ya uongo????!!!!...........msaada wajameni???
Sasa jamani.........utajuaje hii "I LOVE YOU" ni ya kweli, na hii "I LOVE YOU" ni ya uongo????!!!!...........msaada wajameni???
Assembled in California made in China.Too bad, they all seem genuine.
Siri ya anayesema.
Difficult to read someone's mind. And akikuambia "I love" Ya kisanii atafanya sanaa kamwe huta-doubt. Labda umkamate ugoni
I LOVE YOU ya kweli ni ile unamwambia mtu kama ni kweli basi asimame barabarani agongwe na gari kwa ajili yako akikataa utajua tu hiyo I LOVE YOU ni ya uongo......feel me!!!????
"Time will tell."