wewe rafiki wa mume wangu,lakini cha ajabu unampenda mke wa rafiki yako wakati wewe unamke.ukituona tumeongozana unakasirika,huoni aibu?jamani,dunia inaenda wapi?
Vaislay; wewe rafiki wa mume wangu,lakini cha ajabu unampenda mke wa rafiki yako wakati wewe unamke.ukituona tumeongozana unakasirika,huoni aibu?jamani,dunia inaenda wapi?
Huyo shemeji yako ndo amekwambia anakasilika akikuona na mumeo? Alishakwambia anakupenda labda?
Heading ya Thread yako nadhani ungeiweka ''Baadhi ya wanaume wakoje?'' Maana unaposema wanaume mkoje, una uhakika wote tunakasilika pindi tuonapo rafiki zetu wanaongozana na wake zao kitu ambacho si kweli.
wewe rafiki wa mume wangu,lakini cha ajabu unampenda mke wa rafiki yako wakati wewe unamke.ukituona tumeongozana unakasirika,huoni aibu?jamani,dunia inaenda wapi?
kwahiyo wewe vaislay umeolewa... na rafiki wa mumeo anampenda mke wa rafiki yake na yeye ana mke... na ikitokea wewe na mmeo mmeongozana anakasirika.... !!!???? Im confyuuuzzzzdddd.. sijaelewa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.