Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Jaman wanaume mnaitwa huku
Mmemtumia dada WA watu alafu mkamuoa
Mlipomuoa mkaenda kumweka aishi shamba
Kwani wakati mnamtumia mlitumia akiwa shamba au unaona alikaa mjini wenzio watafaidi?
Wanaume mkoje lakini?? Mmemtumia dada WA watu alafu mkamuoa
Mlipomuoa mkaenda kumweka aishi shamba
Kwani wakati mnamtumia mlitumia akiwa shamba au unaona alikaa mjini wenzio watafaidi?
NYUZI ZANGU ZINGINE:
Mpenzi wangu ni mfupi, naona aibu kumtambulisha, nifanyaje?
Simu ya mpenzi wangu haina amsha amsha. Nifanyeje?
Kumekucha Ila fans wangu mnajua sana kunipa Raha na kucheka Jana nimepata kero Kwa mrembo mmoja Kwa email yangu, anasema kuwa "Simu ya mpenzi wake, haina AMSHA AMSHA Haina ex anaemsumbua Madeni wanaomsumbua Wadada, mijimama inayomsumbua Contact ya simu yake imejaa Marafiki zake WA KIUME...
www.jamiiforums.com
Mpenzi wangu anapenda kucheka, nifanyaje?
Doh, najuta kutoa email yangu Maana ndio mvua za maswali kama haya, Money Penny, me Nina mpenzi wangu nampenda Sana, lakini ana tatizo moja Tu Money Penny: Tatizo gani? Kijana: anapenda Sana kucheka, Yani akikutana na kitu kinachekesha, hapo mjipange DK 10 mpaka 15 anacheka yeye tu. Money...
www.jamiiforums.com