Umenitumia weee, ukanioa, alafu umeenda kunitupa shamba, hivi wanaume mkoje

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,921
14,821
Jaman wanaume mnaitwa huku

Mmemtumia dada WA watu alafu mkamuoa

Mlipomuoa mkaenda kumweka aishi shamba

Kwani wakati mnamtumia mlitumia akiwa shamba au unaona alikaa mjini wenzio watafaidi?
Wanaume mkoje lakini??

NYUZI ZANGU ZINGINE:
Mpenzi wangu ni mfupi, naona aibu kumtambulisha, nifanyaje?

 
Back
Top Bottom