Societa Jesuit
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 200
- 5
Akili zao ni JINGA.
mamaaaaaa.....kalogwa huyu ''akili zao ni jinga''
Akili zao ni JINGA.
Baadhi ya wanaume wamekuwa na akaunti ambazo hazijulikani na wake zao (Yaani hazijulikani kuwa zipo, sio zina sh ngapi..).
Mfano mzuri ni stori ya leo kwenye magazeti kuwa baada ya hali ya milipuko ya G,mboto, kuwa mbaya mwanamke mmoja anaeleza kuwa mume wake 'aliungama' kwake mambo kadhaa, ikiwemo kumpa taarifa juu ya akaunti ambazo huyo mke alikuwa hazijui...
Swali; Ni sababu zipi zinaweza kumfanya mwanaume awe na akaunti ambayo mke wake haifahamu?