Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Habari za nyakati hizi wanajamvi! Nimeona niseme machache kwa wanaume wezangu. Pengine yalishasemwa, basi ni
kukumbushana tuu!
1. Mpende Mkeo wakati wa ujauzito! Ulimpenda. Ukamwoa. Ukamwita majina mengi ikiwemo wewe ndio mama wa watoto wangu.
Umefanya vitu na sasa ni mjazito, kwa nini kukimbia kimbia nje? Tumehusika kusababisha ujauzito basi tuoneshe upendo mkubwa
na matunzo ya hali ya juu katika msimu huo.
2. Little surprises work out a lot! Does it make you less a gentleman to prepare a breakfast for her?
3. Does it kill you or make you less a man to say ' Im sorry my wife, please forgive me'?
Basi, pale panapotuhusu, tupachukue, tuparekebishe, tufurahie ndoa zetu. Life is short why kununiana daily ndani wakati nje
unacheka na visekretari pamoja na vihudumu?
Asubuhi njema.
kukumbushana tuu!
1. Mpende Mkeo wakati wa ujauzito! Ulimpenda. Ukamwoa. Ukamwita majina mengi ikiwemo wewe ndio mama wa watoto wangu.
Umefanya vitu na sasa ni mjazito, kwa nini kukimbia kimbia nje? Tumehusika kusababisha ujauzito basi tuoneshe upendo mkubwa
na matunzo ya hali ya juu katika msimu huo.
2. Little surprises work out a lot! Does it make you less a gentleman to prepare a breakfast for her?
3. Does it kill you or make you less a man to say ' Im sorry my wife, please forgive me'?
Basi, pale panapotuhusu, tupachukue, tuparekebishe, tufurahie ndoa zetu. Life is short why kununiana daily ndani wakati nje
unacheka na visekretari pamoja na vihudumu?
Asubuhi njema.