Laura Mkaju
Senior Member
- Jan 31, 2011
- 194
- 40
Asante kwa kuwakumbusha wanaume wenzako!
sema tuwapende siku zote sio za mimba tu lkn wanawake nao hawapendeki. ikimpenda sana anaona kama uko chini yake na anaanza visa.
Mh!gotcha your majesty.Aisee kwenye maswala ya surprises wanaume wote tunajitahidi sana.
Iwe akishika simu yako, au akibahatika kufungua e-mail yako there will always be surprises awaiting her...:lol::lol:
Kumbe hujapachika mimba!!mi wanawake wajawazito really turn me on so mke wangu akishika mimba ntamganda mpaka mwisho
Habari za nyakati hizi wanajamvi! Nimeona niseme machache kwa wanaume wezangu. Pengine yalishasemwa, basi ni
kukumbushana tuu!
1. Mpende Mkeo wakati wa ujauzito! Ulimpenda. Ukamwoa. Ukamwita majina mengi ikiwemo wewe ndio mama wa watoto wangu.
Umefanya vitu na sasa ni mjazito, kwa nini kukimbia kimbia nje? Tumehusika kusababisha ujauzito basi tuoneshe upendo mkubwa
na matunzo ya hali ya juu katika msimu huo.
2. Little surprises work out a lot! Does it make you less a gentleman to prepare a breakfast for her?
3. Does it kill you or make you less a man to say ' Im sorry my wife, please forgive me'?
Basi, pale panapotuhusu, tupachukue, tuparekebishe, tufurahie ndoa zetu. Life is short why kununiana daily ndani wakati nje
unacheka na visekretari pamoja na vihudumu?
Asubuhi njema.
Mmmh hiyo ngonjera haipo kwenye dictionary ya wanaume wa kiBonGo. Hawajui ni kazi kubeba mimba miezi 9 ontop of that there is alot of biological changes katika mwili wa mwanamke including hormone which may affection her emotionally.
Hivi kuna wanaume ambao hawawapendi wake zao wanapokuwa wajawazito?