Wanaume ambao hatujaoa, tukifika miaka 30+ tutajioa wenyewe

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Kwa uchungu sana,

Kweli wanawake kwa mabinti wanatuambia tutafute hela , ila amini na waambieni wanaume wenzangu ukifika umri wa miaka 30+ utajua hujui yani hutopata mwanamke wa kuendana na umri wako hatakidogo pale unapo hitaji sasa kuoa serious na kuwa na mke wako wa maisha

Amini na waambieni kila binti mbichi utakae mpenda utakuta mmepishana miaka kuanzia 10, 15, 16, 17 na wengine 18 ,20 au zaidi . Yaani mpenzi wako anakua anakaribia nusu ya umri wako na hiyo ni kweli kabisa na hapa ndipo kujioa sasa, binti mbichi lakini mwanaume unakuta unamvi mpaka kwenye kidevu

Na ukitaka mnae endana umri kidogo wa mpishano wa miaka 4, 5, au 7 amini na waambia mtakuta ni single mother, feminist au mwanaharakati na kamwe huyo hutoweza mtawala

Sasa ni kweli wanatuambia tutafute hela ila angalieni msije mkajioa wenyewe ,
Naandika hivi maana mimi hii ndio inayo nikuta sasa yani kila binti mpishano wa umri sii chini ya miaka 10 ,15, 17 mpaka wanauliza sasa niwe nakusalimia au nikupaje salamu . Inabidi umwambie tuu vyovyote utakavyo ona kikubwa utii na kujielewa..

Mwenye kusikia na asikie na huu ni kwa wale wanaotaka kuoa na siyo kuzalisha na kutoa hela ya matumizi , maana kuzalisha unazalisha yeyote tuu ila kwenye kuoa ndio mtihani. Ndugu zangu Wanawake ni hawa hawa wote wanafanana isipokua tuu wanazidiana ujinga / maarifa tafuta yule utakae wezana nae hatakidogo tuu na hayo ndio maisha ,

Sasa shauri yetu

Wewe endelea kukaza tuu fuvu na kujifanya unatafuta hela na kula mitungi huku ukijifariji maisha ya usingle ni bata
 
kwa maelezo haya Mkuu sio bure wanakuambia utafute pesa.
Mimi naambiwa sasa nikupaje salamu maana wewe ni mkubwa hakuna shida ila nikusalimie au nikuambie mambo mpenzi.

Wewe kama wewe unajibu je, na ukiangalia binti anamaadili yake kabisa ?
 
Kwa uchungu sana,

Kweli wanawake kwa mabinti wanatuambia tutafute hela , ila amini na waambieni wanaume wenzangu ukifika umri wa miaka 30+ utajua hujui yani hutopata mwanamke wa kuendana na umri wako hatakidogo pale unapo hitaji sasa kuoa serious na kuwa na mke wako wa maisha

Amini na waambieni kila binti mbichi utakae mpenda utakuta mmepishana miaka kuanzia 10, 15, 16, 17 na wengine 18 ,20 au zaidi . Yaani mpenzi wako anakua anakaribia nusu ya umri wako na hiyo ni kweli kabisa na hapa ndipo kujioa sasa, binti mbichi lakini mwanaume unakuta unamvi mpaka kwenye kidevu

Na ukitaka mnae endana umri kidogo wa mpishano wa miaka 4, 5, au 7 amini na waambia mtakuta ni single mother, feminist au mwanaharakati na kamwe huyo hutoweza mtawala

Sasa ni kweli wanatuambia tutafute hela ila angalieni msije mkajioa wenyewe ,
Naandika hivi maana mimi hii ndio inayo nikuta sasa yani kila binti mpishano wa umri sii chini ya miaka 10 ,15, 17 mpaka wanauliza sasa niwe nakusalimia au nikupaje salamu . Inabidi umwambie tuu vyovyote utakavyo ona kikubwa utii na kujielewa..

Mwenye kusikia na asikie na huu ni kwa wale wanaotaka kuoa na siyo kuzalisha na kutoa hela ya matumizi , maana kuzalisha unazalisha yeyote tuu ila kwenye kuoa ndio mtihani. Ndugu zangu Wanawake ni hawa hawa wote wanafanana isipokua tuu wanazidiana ujinga / maarifa tafuta yule utakae wezana nae hatakidogo tuu na hayo ndio maisha ,

Sasa shauri yetu

Wewe endelea kukaza tuu fuvu na kujifanya unatafuta hela na kula mitungi huku ukijifariji maisha ya usingle ni bata
Kwani kuoa lazima?
 
Kwa uchungu sana,

Kweli wanawake kwa mabinti wanatuambia tutafute hela , ila amini na waambieni wanaume wenzangu ukifika umri wa miaka 30+ utajua hujui yani hutopata mwanamke wa kuendana na umri wako hatakidogo pale unapo hitaji sasa kuoa serious na kuwa na mke wako wa maisha

Amini na waambieni kila binti mbichi utakae mpenda utakuta mmepishana miaka kuanzia 10, 15, 16, 17 na wengine 18 ,20 au zaidi . Yaani mpenzi wako anakua anakaribia nusu ya umri wako na hiyo ni kweli kabisa na hapa ndipo kujioa sasa, binti mbichi lakini mwanaume unakuta unamvi mpaka kwenye kidevu

Na ukitaka mnae endana umri kidogo wa mpishano wa miaka 4, 5, au 7 amini na waambia mtakuta ni single mother, feminist au mwanaharakati na kamwe huyo hutoweza mtawala

Sasa ni kweli wanatuambia tutafute hela ila angalieni msije mkajioa wenyewe ,
Naandika hivi maana mimi hii ndio inayo nikuta sasa yani kila binti mpishano wa umri sii chini ya miaka 10 ,15, 17 mpaka wanauliza sasa niwe nakusalimia au nikupaje salamu . Inabidi umwambie tuu vyovyote utakavyo ona kikubwa utii na kujielewa..

Mwenye kusikia na asikie na huu ni kwa wale wanaotaka kuoa na siyo kuzalisha na kutoa hela ya matumizi , maana kuzalisha unazalisha yeyote tuu ila kwenye kuoa ndio mtihani. Ndugu zangu Wanawake ni hawa hawa wote wanafanana isipokua tuu wanazidiana ujinga / maarifa tafuta yule utakae wezana nae hatakidogo tuu na hayo ndio maisha ,

Sasa shauri yetu

Wewe endelea kukaza tuu fuvu na kujifanya unatafuta hela na kula mitungi huku ukijifariji maisha ya usingle ni bata
Umeongea ukweli mtupu kaka. Ila kwa yule anae subiri kwa maksudi huyo inabidi abadiri mtazamo. Ila kuna akina sisi amabao imetulazimu kuwa hivi japo umri unasema oa. Tupo tuliotaka kuoa at 30 (not 30s) at 30 tukalipa hadi mahari na taratibu za harusi zikaanza ila bahati mbaya wanawake zetu walizingua na kutu disappoint sana. Zipo sababu zingine nyingi. Ila kwa kigezo cha eti tu unatafuta pesa hii sio sahihi kabisa japo pesa ni muhimu kwa maisha ya sasa
 
30+ bado ni umri mzuri kuoa na kuanzisha familia
Umri wowote tu ni mzuri inategemea una malengo gani na iyo familia.

Zamani watu walioa mapema ili watoto wakiwa wakubwa wawasaidie kufanya kazi pamoja au wawatumie kuzalisha mali.

Sasa hivi watu wanataka kuwa na watoto tu wakati mwingine bila hata sababu. Kuna watu ukiwauliza hasa kwanini wameamua kuwa na familia, utagundua wao kama wao hawanajui kwanini au hawana huo uhitaji ila tu wamekuta ni kama mazoea kuoa/kuolewa na kuwa na watoto.

Wazee wa zamani walikuwa na sababu ya kwanini wanakuwa na familia ndio maana walikuwa wanahitaji watoto wa jinsia fulani sio ilimradi tu bali kwa sababu za msingi kabisa zakuwafaa wao.

Sasa hivi mtuanapendelea mtoto wa jinsia fulani ili basi tu awe naye, hana sababu tofauti na hiyo. Ukimuuliza kiundani zaidi unagundua huyu haitaji kuwa na familia ni basi tu kafuata mkumbo.
 
Umri wowote tu ni mzuri inategemea una malengo gani na iyo familia.

Zamani watu walioa mapema ili watoto wakiwa wakubwa wawasaidie kufanya kazi pamoja au wawatumie kuzalisha mali.

Sasa hivi watu wanataka kuwa na watoto tu wakati mwingine bila hata sababu. Kuna watu ukiwauliza hasa kwanini wameamua kuwa na familia, utagundua wao kama wao hawanajui kwanini au hawana huo uhitaji ila tu wamekuta ni kama mazoea kuoa/kuolewa na kuwa na watoto.

Wazee wa zamani walikuwa na sababu ya kwanini wanakuwa na familia ndio maana walikuwa wanahitaji watoto wa jinsia fulani sio ilimradi tu bali kwa sababu za msingi kabisa zakuwafaa wao.

Sasa hivi mtuanapendelea mtoto wa jinsia fulani ili basi tu awe naye, hana sababu tofauti na hiyo. Ukimuuliza kiundani zaidi unagundua huyu haitaji kuwa na familia ni basi tu kafuata mkumbo.

Hapo kwa wazee umetulisha matangopori asee, wazee wa zamani walikua na wake hata 10 na kila mke ana watoto 5 sio poa. Wakikua wanazalisha hovyo sana, kidogo miaka ya sasa watu wana family planning.
 
Back
Top Bottom