Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Unafikiri nakataa Dena, tatizo langu ni hivi, nobody is providing scientific explanation and then we are generalizing. Kwa mfano, kwenye eneo kama Makambako kuna baridi kali. Na maeneo mengine mengi tz. Zikipata baridi sana pia zinauma kwelikweli hivyo kupunguza intensity ya ngono. Shafti pia inakuwa ndogo sana kwenye baridi kali, inaweza hata isisimame wakati kwenye joto inasimama hovyo hovyo. kwa hiyo watu wa maeneo ya baridi kali boxer hazitawasaidia. Dar sawa.
Mimi niliacha kuvaa ch... nikiwa Mafinga JKT tena enzi zile baridi ilikuwa kali sana. Kuna rafiki yangu mmasai alinielimisha kuhusu suala hilo. Nikaacha kabisa nikawa natanguliza bukta tu. Ajabu pamoja baridi kali, nilikuwa 'nakong'oli' kama kawa tena hata tukiwa shambani tunachepuka kidogo tu na mchezo unafanyika. Tangu wakati huo mpaka leo mimi na bukta nyepesi tu na kengele zipo free zinacheza kama zinavyopenda zenyewe. Nashangaa wanaosema sijui nguvu zimefanya nini sijui!! Mimi ukinishtua muda wowote naweza ku-tune kwenye ule muziki mororo na kuucheza mpaka ushikwe bumbuwazi.