Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
JF ni social media na kazi yake ni kupashana habari, kurekebishana na kujengana pia. Mimi kuna tabia huwa siipendi na kama kuna mwana JF anayo namsihi aache MARA MOJA. Na hii tabia iko zaidi kwa wanaume.
Unakuta mwanaume anamla demu/mke wa mshikaki mwengine na wakati utamu umekolea lile dume eti linamwambia MTUKANE MUME WAKO/BOY FRIEND WAKO na mdada nae anakazana ****** WEWE HUKU AKITAJA JINA LA MPENZIWE.
Huu ni unyanyasaji kwani mtu anapokuwa kwenye climax hana control ya chochote kile hivyo ni kama unamzalilisha tu.
Au madada mnataka kutetea kwamba huwa hamfanyagi hivyo.
Unakuta mwanaume anamla demu/mke wa mshikaki mwengine na wakati utamu umekolea lile dume eti linamwambia MTUKANE MUME WAKO/BOY FRIEND WAKO na mdada nae anakazana ****** WEWE HUKU AKITAJA JINA LA MPENZIWE.
Huu ni unyanyasaji kwani mtu anapokuwa kwenye climax hana control ya chochote kile hivyo ni kama unamzalilisha tu.
Au madada mnataka kutetea kwamba huwa hamfanyagi hivyo.