Mphamvu nani tena kakuchokoza, isijekuwa ni yuleeeeeeeee kakinukisha tena?? hii nchi ndio kwanza kikwete anakamilisha kafara zake, na watasema chadema wamesababisha! pole Mphamvu, lol!...halafu ndio wanakuja na tabiri zao mmavi mmavi.
Hii mamlaka ya utabiri wa hewa sijui wakoje, ajali imetokea ndo wanatoa tahadhari kuwa kutakuwa na upepo mkali pwani ya kusini. Walikuwa wapi kutupa tahadhari mapema?
...manina!