Wanasiasa na uvivu wa kusoma

REBEL

Senior Member
Dec 15, 2010
166
64
Napenda nieleweke hapa siongelei kuhusu wanasiasa wetu wana masters au phd ngapi maana sisi tumeishasoma vyuoni na kuona watu wanavyocopy na kupaste thesis na research zao.Ninachota kuongelea hapa ni wanasiasa wetu ni watu ambao hawana mvuto wa kujenga hoja maana vichwani mwao hamna kitu. Hii inachangiwa na kutokuwa na utaratibu wa kujisomea vitabu na makala za tafiti mbalimbali.Na inavyoonyesha vitabu walisoma wakiwa wanasomea mitihani tu au walikuwa wanapenda kusoma notices tu.

Kuna wanasiasa wakiongea uwa unaona wanasoma na hata kama hawasomi wanajua kupanga hoja.Mfano mzuri katika hapa ni mwalimu Nyerere,Pinda,Mnyika,dk.slaa,wakili tundu lissu.Wengine ni Mkapa,
Mimi mwanasiasa anayenikera kwamba hajui kujenga hoja na hawezi kushwawishi msomi yoyote kumsikiliza ni Nape nauye.Huyu mtu nasikia amesoma mpaka shahada ya pili lakini ni mtu ninayemuona mweupe sana kichwani.Mwingine ninaye muona ni mtu wa ajabu lakini wananichekesha ni wasirra na LUsinde.
Wito wangu wanasiasa muwe mnasoma mtafanya watu(hasa wasomi wachukie vyama vyenu).huu ni ushauri wa bure.
 
Nape kasoma! Ana shahada ya udhamili! kweli mkuu! Mhhhhhhhhh, aisee nitajie chuo alichosoma, isije nikaingia choo cha kike kumshauri ndugu yangu aingie hapo aisee, mweeeeeee! Hicho chuo alichosoma basi kitakuwa kiboko kaka!
 
Nape kasoma! Ana shahada ya udhamili! kweli mkuu! Mhhhhhhhhh, aisee nitajie chuo alichosoma, isije nikaingia choo cha kike kumshauri ndugu yangu aingie hapo aisee, mweeeeeee! Hicho chuo alichosoma basi kitakuwa kiboko kaka!

Amesoma Mzumbe University Dar, A.K.A voda fasta, mabingwa wa kudurufu Masters Tanzania!
 
Napenda nieleweke hapa siongelei kuhusu wanasiasa wetu wana masters au phd ngapi maana sisi tumeishasoma vyuoni na kuona watu wanavyocopy na kupaste thesis na research zao.Ninachota kuongelea hapa ni wanasiasa wetu ni watu ambao hawana mvuto wa kujenga hoja maana vichwani mwao hamna kitu. Hii inachangiwa na kutokuwa na utaratibu wa kujisomea vitabu na makala za tafiti mbalimbali.Na inavyoonyesha vitabu walisoma wakiwa wanasomea mitihani tu au walikuwa wanapenda kusoma notices tu.

Kuna wanasiasa wakiongea uwa unaona wanasoma na hata kama hawasomi wanajua kupanga hoja.Mfano mzuri katika hapa ni mwalimu Nyerere,Pinda,Mnyika,dk.slaa,wakili tundu lissu.Wengine ni Mkapa,
Mimi mwanasiasa anayenikera kwamba hajui kujenga hoja na hawezi kushwawishi msomi yoyote kumsikiliza ni Nape nauye.Huyu mtu nasikia amesoma mpaka shahada ya pili lakini ni mtu ninayemuona mweupe sana kichwani.Mwingine ninaye muona ni mtu wa ajabu lakini wananichekesha ni wasirra na LUsinde.
Wito wangu wanasiasa muwe mnasoma mtafanya watu(hasa wasomi wachukie vyama vyenu).huu ni ushauri wa bure.

Endelea kujifunza jinsi ya kuandika threads! unaonekana bado hujui kupangilia mtiririko mzuri katika mada unayotaka kuzungumzia. Katika hii thread yako nimeshindwa kukuelewa, aya ya kwanza inapingana na aya ya pili kwa hiyo na wewe umekuwa kama hao unaotaka tuwajadili hapa na unachomaanisha hakina ukweli.
 
Mpangilio hauna shida haya ya kwanza ni utangulizi,haya ya pili inaongelea mifano ya wanasiasa wanaopenda kujisomea ,na haya ya mwisho ni kuangalia wanasiasa wavivu wa kusoma.kama na wewe nadhani ni mmoja wapo ,J jingine asilimia 75 ya hread inaongelea wanasiasa wavivu kusoma.umenielewa?
 
hahaha na kuna wanasiasa wengine wana Phd wakiongea mpaka unajificha chini ya meza kwa kuona aibu maghembe,na kuna mwingine prof.kapuya yaani ni mtihani kumsikiliza.
 
Napenda nieleweke hapa siongelei kuhusu wanasiasa wetu wana masters au phd ngapi maana sisi tumeishasoma vyuoni na kuona watu wanavyocopy na kupaste thesis na research zao.Ninachota kuongelea hapa ni wanasiasa wetu ni watu ambao hawana mvuto wa kujenga hoja maana vichwani mwao hamna kitu. Hii inachangiwa na kutokuwa na utaratibu wa kujisomea vitabu na makala za tafiti mbalimbali.Na inavyoonyesha vitabu walisoma wakiwa wanasomea mitihani tu au walikuwa wanapenda kusoma notices tu.

Kuna wanasiasa wakiongea uwa unaona wanasoma na hata kama hawasomi wanajua kupanga hoja.Mfano mzuri katika hapa ni mwalimu Nyerere,Pinda,Mnyika,dk.slaa,wakili tundu lissu.Wengine ni Mkapa,
Mimi mwanasiasa anayenikera kwamba hajui kujenga hoja na hawezi kushwawishi msomi yoyote kumsikiliza ni Nape nauye.Huyu mtu nasikia amesoma mpaka shahada ya pili lakini ni mtu ninayemuona mweupe sana kichwani.Mwingine ninaye muona ni mtu wa ajabu lakini wananichekesha ni wasirra na LUsinde.
Wito wangu wanasiasa muwe mnasoma mtafanya watu(hasa wasomi wachukie vyama vyenu).huu ni ushauri wa bure.
Pinda?? My foot
 
Napenda nieleweke hapa siongelei kuhusu wanasiasa wetu wana masters au phd ngapi maana sisi tumeishasoma vyuoni na kuona watu wanavyocopy na kupaste thesis na research zao.Ninachota kuongelea hapa ni wanasiasa wetu ni watu ambao hawana mvuto wa kujenga hoja maana vichwani mwao hamna kitu. Hii inachangiwa na kutokuwa na utaratibu wa kujisomea vitabu na makala za tafiti mbalimbali.Na inavyoonyesha vitabu walisoma wakiwa wanasomea mitihani tu au walikuwa wanapenda kusoma notices tu.

Kuna wanasiasa wakiongea uwa unaona wanasoma na hata kama hawasomi wanajua kupanga hoja.Mfano mzuri katika hapa ni mwalimu Nyerere,Pinda,Mnyika,dk.slaa,wakili tundu lissu.Wengine ni Mkapa,
Mimi mwanasiasa anayenikera kwamba hajui kujenga hoja na hawezi kushwawishi msomi yoyote kumsikiliza ni Nape nauye.Huyu mtu nasikia amesoma mpaka shahada ya pili lakini ni mtu ninayemuona mweupe sana kichwani.Mwingine ninaye muona ni mtu wa ajabu lakini wananichekesha ni wasirra na LUsinde.
Wito wangu wanasiasa muwe mnasoma mtafanya watu(hasa wasomi wachukie vyama vyenu).huu ni ushauri wa bure.

nakubaliana na hoja yako lakini naona ulivyoiwakilisha inagongana sehemu nilizotia color
 
Back
Top Bottom