Iwapo wanajeshi wanapewa ukuu Wa Wilaya na Mikoa, iwapo mwanajeshi anaongiza idara nyeti ya CCM.
Iwapo naibu mwanasheria mkuu Wa serikali anateuliwa kuwa mbunge kwa tiketi ya CCM
Iwapo naibu mwanasheria mkuu toka mhimili uliojichimbua chini zaidi ya yote anakwenda kuongoza mhimili Wa bunge la wananchi
Iwapo hapo ndipo tumefikishwa naona acha tuendelee tu.
Tunasubiria na uchaguzi Wa chama cha wafanyakazi, chama cha walimu napo tuweke majembe ndo nchi itasimama vizuri
Iwapo naibu mwanasheria mkuu Wa serikali anateuliwa kuwa mbunge kwa tiketi ya CCM
Iwapo naibu mwanasheria mkuu toka mhimili uliojichimbua chini zaidi ya yote anakwenda kuongoza mhimili Wa bunge la wananchi
Iwapo hapo ndipo tumefikishwa naona acha tuendelee tu.
Tunasubiria na uchaguzi Wa chama cha wafanyakazi, chama cha walimu napo tuweke majembe ndo nchi itasimama vizuri