.......Unajua mda mwingine sijui tuseme vituko
unakuta profesa. Waziri. Katibu mkuu. Dr. Mkurugenzi... Anasema graduates acheni mawazo potofu ya kuajiriwa.. Jiajiriri Ajira ni chache.... Dahhhh kauli inauma hii
cha kushangaza..
Wao hawajawahi kufikiria kujiajiri
watoto wao hawajawahi kuwahimiza wajiajiri japo wana mitaji ya uhakika kabisaaa
kwamba ni ngumu kukuta mtoto wa kigogo kakosa kazi.. Kumbe ajira zipo asehhhh....
Kwamba ikitokea ajira zimetangazwa ndo kwanza anatafutwa mtoto wa mjomba wa shangaz wa kaka.. Abandikwe ili mradi tu mtoto wa mkulima akose kazi.. Rejea sakata la uhamiaji
JAMANI... WANATANGAZA AMANI HUKU NYUMA WAMESHIKA MAPANGA HII SYO FAIR KABISAA
KWAMBA ajira ni chache wanatuhimiza vijana wa wakulima tujiajiri ilihali wanajua fika kuwa hatuna mitaji wakati watoto wao ambao wana uhakika wa mtaji hawawez kujiajiri..
kana kwmba haitoshi ht kile kidogo kinachotengwa kuwawezesha vijana wajiajiri watu wanagawana
inauma sana.. Lengo si uchochezi ila ni kueleza hali halisi. Au nimeongopa?????
Mkuu apo ndoo nashangaa mimi