Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 310
- 288
Michezo itachezewa kwenye miji mitatu; Accra, Kumasi na Cape Coast, na michezo itayochezwa ni pamoja ni pamoja na riadha, Tennis, mieleka, Ngumi, wavu na mingine kama (Badminton, Beach volleyball, Chess, Cricket) .
Kutakuwa na wanariadha wa kimaitaifa , washiriki zaidi ya elfu 5 (5,000) Michezo hiyo, ni sehemu ya kutafuta kufuzu kwa mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika Paris, Ufaransa.