Wanariadha 8 wa Tanzania Kushiriki All African Games, Accra Ghana 2024

Melubo Letema

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
310
288
a30d0025-247a-44c5-9434-32421ff44325.jpeg
Wanariadha 8 wanatarajia kushiriki na kushindana kwenye Mashindano ya African Games (All African Games) yanayotarajia kufanyika kuanzia tarehe 8 - 23 Machi , 2024 huko Jijini Accra Ghana.

Michezo itachezewa kwenye miji mitatu; Accra, Kumasi na Cape Coast, na michezo itayochezwa ni pamoja ni pamoja na riadha, Tennis, mieleka, Ngumi, wavu na mingine kama (Badminton, Beach volleyball, Chess, Cricket) .

Kutakuwa na wanariadha wa kimaitaifa , washiriki zaidi ya elfu 5 (5,000) Michezo hiyo, ni sehemu ya kutafuta kufuzu kwa mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika Paris, Ufaransa.
 
Back
Top Bottom