Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Ni ukweli usiopingika kuwa wanaomaliza kidato cha sita sasa wanapendelea kusoma Mzumbe, na sababu mimi binafsi sifahamu, je kuna mdau yeyote mwenye information juu ya hilo, maana applicants inasemekana ni wengi na zaidi ni division one.
Last edited by a moderator: