Wanaotoa huduma za ‘massage’ watakiwa kujisajili

Nonsense !!! Waache Unaa. Huko ni Kokosa Ubunifu Mpaka Wakimbizane Na Trivial Issues.
 
Kodi kila sehemu…kuna siku watataka wanaojamiiana nje ya ndoa wajisajili
Kama ishu Ni Kodi mbona inalipwa mkuu,
Labda Kama wanalao lingine.

Hii apa receipt ya efd j.mosi pale violets kinondoni
IMG_20220115_131608_0.jpg
 
Huduma za massage Bongo ni majumba ya ukahaba tu,hapo wengi watafunga huduma,maana watakaosajiliwa ni wachache sana wenye vigezo.
Sio wote wanaoenda kwenye massage Ni kwa ajili ya ngono,


Ile Ni Tiba mbadala Kama tiba zingine mkuu

Acha upotoshaji bhana
 
Hivi hiyo massage inafanywa na mwanamke au mwanaume?

kama ni mwanamke, unaachaje kudindisha kwa kushikwashikwa na kukandwa kandwa na mwanamke mwili mzima?

na si ndo umalaya na ukahaba wenyewe unapoanzia hapo?
Unafanyiwa na mwanamke


Ndio kudindisha kupo



Huduma ya kutafuna ipo wanaita happy handing




Mwisho namalizia hakuna mkamilifu maana hata wewe unae kula demu bila ndoa au una mchepuko hauna tofauti na kahaba wote mnazini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huwa mnajifanya mnaenda tibu mgongo sister na kasauti kake na uchokozi wa mikono mnamalizaga na happy ending

Kwani sijui kaka embu tuachage unafki

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Massage zinasaidia Sana hasa Kama wee Ni mchakalikaji wa wiki nzima.

Unanyoosha viungo hasa mgongo mkuu, Ayo mengine labda wee mwenyewe TU urubunike
 
Back
Top Bottom