Wanaotafuta nyumba za kupanga suluhisho hili hapa!

EL MAGNIFICAL

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
938
125
nyumba ! nyumba ! nyumba !!!!!!!

nyumba nzuri inapangishwa,
ipo gongo la mboto,
inatazamana na jeshi la wananchi TZ !
ipo kwenye fensi !
ni self container !
ina vyumba sita !
sebule mbili !
jiko moja na mabafu matatu !
vyoo vya kisasa vinne !
ina library na store mbili !
kodi ni shiling 30000 kwa mwezi!
mwenyenyumba anapokea hata kodi ya mwezi mmoja mmoja !!!!!!!!!
karibu kwa maombi !!!!!!!!!!1
 
Hiyo nyumba ulioitaja nakumbuka iko inatizamana na Godown #5 lenye mabomu yaliyo expire!
 
nyumba ! nyumba ! nyumba !!!!!!!

nyumba nzuri inapangishwa,
ipo gongo la mboto,
inatazamana na jeshi la wananchi TZ !
ipo kwenye fensi !
ni self container !
ina vyumba sita !
sebule mbili !
jiko moja na mabafu matatu !
vyoo vya kisasa vinne !
ina library na store mbili !
kodi ni shiling 30000 kwa mwezi!
mwenyenyumba anapokea hata kodi ya mwezi mmoja mmoja !!!!!!!!!
karibu kwa maombi !!!!!!!!!!1

Picha iko wapi? wengine sisi vichwa vyetu vya panzi, hususan mimi. When I hear I forget, when I see I remember...
 
nyumba ! nyumba ! nyumba !!!!!!!

nyumba nzuri inapangishwa,
ipo gongo la mboto,
inatazamana na jeshi la wananchi TZ !
ipo kwenye fensi !
ni self container !
ina vyumba sita !
sebule mbili !
jiko moja na mabafu matatu !
vyoo vya kisasa vinne !
ina library na store mbili !
kodi ni shiling 30000 kwa mwezi!
mwenyenyumba anapokea hata kodi ya mwezi mmoja mmoja !!!!!!!!!
karibu kwa maombi !!!!!!!!!!1

Mkuu umekosea hapa sipo mahali pa matangazo ya Biashara hapa ni mahali pa habari za picha tu, ukitaka kutangaza mambo ya biashara hili tangazo lako weka hapa bonyeza ( Matangazo madogomadogo)
 
Najua joke inahusu ukosefu wa usalama Gongolamboto (milipuko ya mabomu karibuni) - lakini ukweli ni kwamba Dar nzima haina usalama. Kambi za jeshi zimetapakaa kote na bila shaka zina maghala ya silaha. Milipuko ni suala la zamu tu kama hayo maghala hayaondolewi kabisa mjini.
 
ha ha hahaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mbavu zangu mieeeeeee!!! Makamba ndio anastahili kukaa eneo hilo!!
 
mh, hata aingepangishwa sh 100 nisingepanga

acha uoga ww mambo hua hayaludii palepale bwana !
za izi zamu ya wengine !
kwa yalianza goms si mbagala bwana tuna maombi nafasi ya upendeleo kwako !!!!!!!!!!
kwa mara ya kwanza !!!!!!!!!!!!
kwa mara ya pili !!!!!!!!!!!!!!!!!
kwa mara ya taaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!
 
nyumba ! nyumba ! nyumba !!!!!!!

nyumba nzuri inapangishwa,
ipo gongo la mboto,
inatazamana na jeshi la wananchi TZ !
ipo kwenye fensi !
ni self container !
ina vyumba sita !
sebule mbili !
jiko moja na mabafu matatu !
vyoo vya kisasa vinne !
ina library na store mbili !
kodi ni shiling 30000 kwa mwezi!
mwenyenyumba anapokea hata kodi ya mwezi mmoja mmoja !!!!!!!!!
karibu kwa maombi !!!!!!!!!!1

hata kwa viboko!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom