Wanaosifia kiingereza cha awamu ya Sita walisifia kiswahili cha awamu ya Tano

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Jambo lakimaskini na kifukara la wanasiasa hafifu kifikra nikufikia hatua yakusifia lugha.

Nilichukizwa na Kiswahili kutumika kisiasa awamu ya Tano na watu wenye madaraka kuacha kushughulika na matatizo ya wananchi nakufungua mjadala wa kiswahili.Wasiojua kiswahili wakatuamunisha kutumia kiingereza ni utumwa na ubeberu. Divide and rule

Awamu ya Sita imeingia hakuna anayehoji ubora na nafasi ya hotuba za mama HUKO Dunia, watu Wapo busy kujadili mama kaongea kiingeza. Watu Hawa ni walewale waliotuambia waongea kiingereza ni mabeberu. Je, ubeberu umeisha?
 
Jambo lakimaskini na kifukara la wanasiasa hafifu kifikra nikufikia hatua yakusifia lugha.

Nilichukizwa na Kiswahili kutumika kisiasa awamu ya Tano na watu wenye madaraka kuacha kushughulika na matatizo ya wananchi nakufungua mjadala wa kiswahili...
Baba akiwa hajui kimombo huwa analazimisha hata watoto wake watumie kilugha chake, ilikuwa embarrassment kubwa sana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom