Wanaosema viongozi wa dini wavue majoho ni malaya!

Huyo kiongozi aliesema hivyo atakuwa hana adabu na inafaa kuepukwa ,hivi ni katika maandiko au aya gani ameona kauli hiyo,kwa maneno hayo kama ameyasema huyo Padre basi ni bora huyo aliesema ya kuvua majoho.Maana Slaa amevua joho la upadre na sasa yupo kwenye ulingo ,nyie wengine acheni kufurahikia mambo yachunguzeni kwanza, nionavyo ni kweli kabisa kuwa wanaotaka kuingia siasa wavue majoho vyenginevyo watatukufurisha.
unafkr akivua joho ataacha kumtumia mungu? joho ni uniform tu utumishi haufi.
 
Nilichobaini ni kwamba kuna muda unafika baadhi ya wana JF wanapandwa na jazba na kukosa Hekima, mfano hawa viongozi wa dini zetu (walio wengi) wamesahau hata mission statement za madhehebu/Dini zao, wakafikia ya kutoa matamko ya kisiasa. Kukemea maovu sawa, lakini kanisa linaposema halimtambui Meya, so what?????????????????? Hapo ndo huwa sielewi kabisa.

kama yapo ya kushirikiana ni kwanini wasiseme hawatashirikiana?je ni halali kwa maaskofu kushirikiana na watenda maovu?tuwe tunafikiri kabla ya kuongea,maaskofu hao hao wakisema fulani ni chaguo la mungu hawajaingilia siasa!,wakipinga maovu eti msiingilie siasa!tuache unafiki tuwe wawazi ni vigumu kutenganisha vitu hivi,siasa na dini.
 
Hiyo ni kweli kabisa,
Aliyesema hivyo ni pashkuna Meli Kitanda, jina lake tu linaonesha yeye ni kitanda kwa hiyo ni mtu wa kufirigiswa firigiswa. Ana kaugonjwa ka kutamani wanaume wa aina fulani, au wanaovaa mavazi ya aina fulani, na hali hii humtokea kwa nyakati tofauti tofauti mfano leo anaweza akampenda mwanaume mchafu, kesho akampenda nadhifu, keshokutwa akampenda mrefu, n.k. Hivyo kwa siku aliyotamka maneno hayo alitamani kufirigiswa na mwanaume anayevaa kama askof so alitamani maaskof wavue majoho wabaki watupu kwa ajili ya kumshulika. Hana aibu huyu pashkuna raia wa sudan kaskazini.


Mnnn! Amekasirisha sana watu.
 
Imesemwa na padre anayeingoza misa ya mazishi ya Denis Shirima muda mfupi uliopita huko Rombo Moshi.

nadhani ingekuwa vema kama ungeiweka habari yote ili tupate mtiririko wa maelezo yake mpaka kufikia kumwita huyo mama malaya.hiki ki sentensi kimoja kimekaa kiuchochezi na uchonganishi.
 
Acha uzezeta wewe, unadhani haki ya watu inapodhulumiwa kwenye siasa watanyamaza? Wapo kwaajili ya Haki, iwe kanisani, Ikulu, majumbani.
Siamini padre kusema hayo maneno huyo atakua ni padre mhuni na malaya wa kiume! Kweli haya viongozi wadini wamelewa siasa za chadema!
 
Kama waziri Wasira amesisitiza kuwa ni wajibu wa viongozi wa dini kukemea maovu ya serikali, iweje wewe upinge? Watamkubali vipi meya aliyechaguliwa kinyume na taratibu (yaani amechaguliwa kimadhambi) so kumkubali itamaanisha kuwa hata wao wameshiriki katika dhambi hiyo, na wao kama viongozi wa dini hawapaswi kufanya hivyo. HIVYO KUMKATAA MEYA NI SAHIHI KABISA na wala si kuchanganya siasa na dini. Kwani walikwenda jukwaani kumnadi mgombea yeyote? Wao wamesema wapo tayari kumkubali meya wa chama chochote ili mradi awe amechaguliwa kwa kufuata taratibu.
 
Hivi huyu mama "Mary Chatanda" aka Meli Kitanda...yuko wapi??? mbona amekuwa kimya sana??? au ukatibu mkuu wake wa chama chake huko AR upo matatani??? maskini dada wa watu alifikiri maharage ni mboga kumbe dawa ya usingizi....kazi kwake....akikatisha tu wananchi waTZ pigeni kelele za "Mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii"
 
Angemalizia ni malaya wizi wa wake za watu na wamiliki wakubwa wa madanguro, shenzi type.
 
Hivi huu ni ushabiki wa kisiasa au udini unaotufanya upeo wetu wa kufikiri kukomea hapa?.
Hivi tumejiuliza kweli hizi dini zetu zina haki gani kuanza kukataa kutambua serikali? maana leo zimeanza na meya kesho zitakuja raisi.
Hivi ni wajibu wa dini kuanza kutambu mamlaka za kiserikali?.
Je maaskofu walitumia vigezo gani kusema cdm walionewa? maana hayo ni mambo ya kisheria na tafsiri ya sheria iko mahakamani.
As great thinkers tunapaswa kujiuliza kwanza huu uwezo wa kuingilia mamlaka ya serikali wameutoa wapi?,,Pengo aliposema jk ni chaguo la Mungu na sasa kanisa hilohilo ndilo la kwanza kumnyooshea mkono jk, ndio kusema Mungu ni Mpuuzi kutuchagulia mtu asiyefaa?.
Tunashindwa kuelewa kuwa dini inanafasi yake kurekebisha jamii kupitia madhabahuni na serikali kupitia siasa majukwaani.
Siasa ni mchezo mchafu leo hii viongozi wa dini wanaanza kurumbana na wanasiasa kwa majitaka maana ndio siasa ilivyo, uko wapi utakatifu wao.

Haikubaliki, je kila dini ianze kutambua mamlaka au serikali kwa vigezo vyake? tutapona kweli.
Ushauri uliotolewa ni mzuri kama unaona kuwa askofu unabanwa vua joho kama slaa ingia ulingoni
 
unajua maana ya malaya wewe?ni kama JK hajui alipe DOWANS au asilipe yaani ni full kigeu geu
 
Acha uzezeta wewe, unadhani haki ya watu inapodhulumiwa kwenye siasa watanyamaza? Wapo kwaajili ya Haki, iwe kanisani, Ikulu, majumbani.

Haki ni nini?, hizi dini zinatufanya tunakuwa mazezeta kabisa, siasa ni mchezo mchafu wanachofanya cdm ni kucheza ngoma ya siasa, niajabu na aibu kuona maaskofu nao na upeo wao wanaingia kichwa kichwa na kuanza kusakata ngoma hii kwa bidii zote.
Leo hii mimi ni ccm halafu askofu wangu anasimama na kusema ccm wamekosea cdm wako right, je unategemea nini hapo maaskofu wanashusha hadhi na credibility yao mbele ya waumini wao.
Askofu ni mtu mkubwa mbele ya waumini wake na wanaamini yupo pale kwa kazi ya Mungu, na anachosema ni kweli tupu maana tunaamini amesimama kwaajili ya Mungu, sasa akianza kutoa matamko yanayo gawa waumini wake si vyema.
Wakati wa yesu warumi ndio walikua watawala walikua wanatoza kodi kubwa sana na ya kionezi sana, wakachukua nafasi hii kumuuliza je ni sahihi kulipa kodi?.
Hali yakuwa alikua anajua kodi ilivyo ya kifedhuli aliwajibu nionyesheni sarafu na mnambie inasura ya nani, wakamjibu ya kaisari, akawajibu mpeni kaisari vilivyo vya kaisari na mpeni Mungu vilivyo vya mungu.
Je ni sahihi maaskofu kukomalia ya kaisari?
 
Back
Top Bottom