Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,062
- 15,805
Basi endeleeni kuogeleaSawa ila tumekubaliana kuwa hayo maeneo ni mkoa wa Pwani
Basi endeleeni kuogeleaSawa ila tumekubaliana kuwa hayo maeneo ni mkoa wa Pwani
Ujenge mtoni wewe afu hadara uisingizie jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Ingewezekana hata wakaondolewa bila malipo kwa maana ni kwa ajili ya usalama wao kwanza. Imagine wangebebwa na maji. Wale waliopo sehemu zisizo njia ya maji walipwe fidia sawa sawa na mali zaoWanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la Msimbazi- Dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo, kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale Magomeni)?
NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
Kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.
Vipi ukikataa kuondoka maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima? Milioni 6 ni ndogo Sana lakini.
Namnukuu Benjamin Netanyahu katika moja ya comment yake humu JF
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? Yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununua kiwanja Dar? wakati hao wananchi wananunua na kujenga Serikali ya CCM ilikuwa wapi? Ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
Tatizo hawa watu wana umasikini ambao chanzo kikuu ni ukosefu wa mipango. Hawana mipango kwa sababu hawana akili.Kwani milioni 4 si kwa ajili ya ardhi tu na jengo linathaminiwa kivyake ama mimi sikuelewa!?
Mara nyingi naipinga serikali ila mwa hili wapo sahihi, hiyo pesa ni msaada tu. Viwanja vya milioni 4 nje ya mji vipo vingi tu.
Unatakiwa uchapwe na viboko kichwa ngumu aina yako!Sioni ulazima wa kuondolewa kwa nguvu. Asiyetaka aachwe tu. Unless serikali ina mpango na hilo eneo ila kama ni hatari ya mafuriko na elimu ishatolewa tuachwe tu sisi ni watu wazima tutaogelea.
Ningelikuwa kiongozi ningewapa 500,000, kiwanja huko mbagala na bati 20, tu.Tatizo hawa watu wana umasikini ambao chanzo kikuu ni ukosefu wa mipango. Hawana mipango kwa sababu hawana akili.
Kabisa mkuu. Watu wanataka kukaa karibu na maji kama vyura na hata akili haifanyi kaziNingelikuwa kiongozi ningewapa 500,000, kiwanja huko mbagala na bati 20, tu.
Upo bondeni usitoke boss kaa hapo.Unatakiwa uchapwe na viboko kichwa ngumu aina yako!
Hawawezi kwenda huko,wengi wao( kama sio wrote) wanategemea kufanya shughuli ndogondogo katikati ya mji,hususani kkoo ili kujikimu.Kuwashauri waende chalinze au msata huko hawawezi kuelewa.Pembezoni mwa Dar kuna viwanja vya kuanzia bei ya laki 1 hadi laki nane.
Kuna vya milioni na milioni na nusu.
Kuna mashamba hekari moja laki 2 hadi laki 8.
Maana yake mtu anabaki na hela ya kujenga chumba kimoja ambacho ndicho kapanga hapo. Maana mtu anaweza kuhoji kwamba chumba kimoja hakitoshi.
Sasa sijui ni kwa sababu gani mtu ang'ang'anie kukaa kwenye madimbwi kama chura.
Hapo serikali itafute eneo Kigamboni au Mkuranga,wajenge vijumba kama vile vya Msomera vya Masai wa Ngorongoro.Kisha wenye nyumba wote kila mtu akabidhiwe nyumba yake na Wapangaji kila mtu milioni 1.Alafu kijiko cha Jiji kije kusawazisha nyumba zote,tuone kama Kuna mtu atarudi kukaa pale.Wanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la Msimbazi- Dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo, kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale Magomeni)?
NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
Kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.
Vipi ukikataa kuondoka maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima? Milioni 6 ni ndogo Sana lakini.
Namnukuu Benjamin Netanyahu katika moja ya comment yake humu JF
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? Yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununua kiwanja Dar? wakati hao wananchi wananunua na kujenga Serikali ya CCM ilikuwa wapi? Ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
Kwani wewe ulipokuwa unajenga hukujua kama unajenga katika mkondo wa maji walishapewa viwanja mabwe pande wakauza wakarudi tena palepale eti serikali ya ccm Kwani ndiyo iliyokuuziaWanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la Msimbazi- Dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo, kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale Magomeni)?
NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
Kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.
Vipi ukikataa kuondoka maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima? Milioni 6 ni ndogo Sana lakini.
Namnukuu Benjamin Netanyahu katika moja ya comment yake humu JF
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? Yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununua kiwanja Dar? wakati hao wananchi wananunua na kujenga Serikali ya CCM ilikuwa wapi? Ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
HAO WATU HAWAKUPEWA VILE VIWANJA NA SERIKALI BALI WALIVAMIA HAYO MAENEOWanaopewa fidia ya milioni 6 ili wahame bonde la Msimbazi- Dar itawatosha kununua kiwanja na kujenga?
Maana milioni 6 naona Kama ni ndogo, kwanini wasingepewa nyumba (apartment za pale Magomeni)?
NOTE: FIDIA NI HURUMA YA RAIS TU
Kinadharia hata wasingepewa kwa mujibu ya watoa hela.
Vipi ukikataa kuondoka maana ardhi ni yako watakuondoa? Kwa lazima? Milioni 6 ni ndogo Sana lakini.
Namnukuu Benjamin Netanyahu katika moja ya comment yake humu JF
"Kiwanja Dar ni shs ngapi? Yeye akipewa 4M anaweza kujenga nyumba ya kuishi na kununua kiwanja Dar? wakati hao wananchi wananunua na kujenga Serikali ya CCM ilikuwa wapi? Ni kutafuta sifa za hovyo bila sababu za msingi"
by Benjamin Netanyahu
Hili jambo wengi wanalichukulia kwa ujumla wake na wanashindwa kulijua kwa undani wake!Kwani saizi Serikali inawatoa Ili ifanyaje Sasa.
Tzn ni kubwa unakaa Mabondeni harafu useme Serikali imeshindwa wajibu wake? Hapo pote ni catchment area.
Kwanza wanatakiwa kufurushwa wote ni huruma tuu Samia anafanya.
Ni World Bank ndo imeamua kutoa kifuta jasho walahu kuwasitiri...!HAO WATU HAWAKUPEWA VILE VIWANJA NA SERIKALI BALI WALIVAMIA HAYO MAENEO
SERIKALI ILIWAKATAZA KUJENGA KTK HAYO MAENEO LAKINI WALIKAIDI KWA NINI LEO SERIKALI IBEBE JUKUMU LISILO LAKE
ANGALAU HATA SERIKALI ILIVYOAMUA KUWAPA HATA HIZO FEDHA
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app