Wanaopenda kujua kuhusu Kujiunga na JWTZ na Vikosi Vingine vya Usalama

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,185
3,547
Wadau!

Lleo nilikutana na mfanyakazi mmoja wa Serikalini, niliongea nae kuhusu ni jinsi gani mtu anaweza kupata ajira ndani ya Jeshi la JWTZ, Usalama wa Taifa na taasisi zilizopo chini ya idara hiii kama TAKUKURU, Uhamiaji na taasisi nyingine nyeti, ni kupitia JKT.

1. Ameniambia utaratibu mpya wa vijana kujiunga na JWTZ ni kupitia kwanza mafunzo ya JKT.. Wameniambia kwa sasa huu ni utaratibu mpya wa sasa kwamba JKT kwanza halafu badae ndo unajiunga na jeshi.

2. Kuhusu kujiunga na kupewa ajira idara kama Usalama wa Taifa na taasisi kama TAKUKURU ni kupitia JKT mkifika hukoo ndo sana baadhi ya vijana huchaguliwa na kupelekwa kufanya kazi kwenye idara hizi.

Kabla ya kuanza baada ya mafunzo hayaa mnapelekwa kwenye chuo cha Usalama wa Taifa kilichopo Mbweni, huko na pia idara hizi ni kupitia JKT huchukua vijana kupitia idara hizi.

3. Kuhusu kujiunga JKT ni kuwa JKT hutoa nafasi za mafunzo kwa vijana wanaopenda sana kujitolea kwani JKT hutoa nafasi hizo kwa vijana wanaopenda kujitolea kwenda kupewa mafunzo ya kijeshi na ulinzi .

Pia JKT..huwa wanatangaza nafasi kwa vijana wa kitanzania ambao wanaopenda na sifa za vijana huanzia darasa la saba mpaka elimu ya chuo.

Kumbuka: Mnaweza mkaenda watu watu wengi ila si yote watakao ajiriwa kujiunga JKT ila baada ya kuhitimu utapata mafunzo yatayokusaidia.


Soo kuhusu watu ambao wapoo mtaani wanawambia kuwa watakutafutia kazi tiss,JWTZ,TAKUKURU, Uhamiaji ambao watu wanataka utoe pesa wakusaidie upate kazii kaa ukijua unatapeliwa...ni hayoo tuu

 
Haya bhana tunashukuru kwa taarifa japo kwa tulio wengi itatuumiza lakini bado nahisi kuna utata maana hata wengine waliopo huko wanatuambiaga utaratibu ulio kinyume na huu uliotufahamisha wewe so tunashindwa wapi pa kuamini ila all in all we are waiting for de posts,vyovyote zitakavyokuja ndivyo tutakavyoapply..
 
Ukweli utaratibu wa jkt ndio validy kwa sasa hakuna utaratibu mwingine zaidi ya huo jkt kwanza then mambo mengine yanafata.huo utaratibu mwingine ulioambiwa zaidi ya kupitia jkt haupo
 
Haya bhana tunashukuru kwa taarifa japo kwa tulio wengi itatuumiza lakini bado nahisi kuna utata maana hata wengine waliopo huko wanatuambiaga utaratibu ulio kinyume na huu uliotufahamisha wewe so tunashindwa wapi pa kuamini ila all in all we are waiting for de posts,vyovyote zitakavyokuja ndivyo tutakavyoapply..

mkuu hata mimi nilifuatilia nikaambiwa wamebadili sheria ya kujiunga na jwtz unaanza jkt...unakuja jwtz ila ngoja
 
huo ndio utaratibu wa sasa, hata kwa magareza na polisi wanachukua vijana jkt.
Kwa kifupi jkt ndo njia ya uhakika kuliko zote.
Kuna utapeli unaendelea mtaani kuhusu kujiunga na jwtz na polisi, watu wanapaswa kuwa makini.
 
huo ndio utaratibu wa sasa, hata kwa magareza na polisi wanachukua vijana jkt.
Kwa kifupi jkt ndo njia ya uhakika kuliko zote.
Kuna utapeli unaendelea mtaani kuhusu kujiunga na jwtz na polisi, watu wanapaswa kuwa makini.


​polisi na magereza huwa hawachukui vijana jkt...ila nilivyoambiwa ni upande wa jwtz
 
zanzibar haina jkt wana jku ila kwa polisi Zanzibar wanachukua fresh from school or professional na wanafanya hivyo ili wale wote wanaotoka zanzibar hurudi huko baada ya mafunzo
 

ww hzo za jkt labda uwe huna mtu tu watu wanaenda
nahawajaptia jkt halafu jiulze hawa jamaa wa fom4 na
fom6 wa 2013 na 2012 waliochaguliwa kujiunga ma Polc Tanzania
hyo jkt wameenda ln nawanatakiwa mpaka tar8 mwez ujao
wawe wamefka ofc za RPC waende CCP kiufup kama huna mtu
nch h n noma nahuyo uliemuulza alkukwepa akahc unahtaj msaada
xaxa ungempa takrma ukaona kama angekwambia uptie jkt
xaxa nakwambia MAGEREZA wanatoa nafac nenda kaombe uone kama utaambiwa umeptia jkt.
Asante kwa taarfa yako!
 
Haya mambo yanachanganya kichizi ngoja nitulie niusome mchezo mwisho wa siku kitaeleweka tu!
 
Back
Top Bottom