yeah well said!ndivyo ilivyoo.mkuu hata mimi nilifuatilia nikaambiwa wamebadili sheria ya kujiunga na jwtz unaanza jkt...unakuja jwtz ila ngoja
Nasikia jkt post zinatoka january,hii ina ukweli??
nafasi lini mana. tumechoka kuzunguka na bahasha.over 2013
nafasi lini mana. tumechoka kuzunguka na bahasha.over 2013
Mkuu is kweli.Mi nimekuwepo j.k.t,vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinachukua j.k.t.Hiyo kesi ya polisi ni kwa graduates​polisi na magereza huwa hawachukui vijana jkt...ila nilivyoambiwa ni upande wa jwtz
watatoa tu ucjal au kwa uhakika zaidi nenda kwa mshauri wa mgambo den atakupa taarifa kamili au andika barua ya kuonesha nia ya kujiunga na J.K.T kwa mkuu wa jeshi la kujenga taifa.mikazó;8355498 said:Mbna jkt awamu hii hawatak watu wa degree na diploma?
Mkuu is kweli.Mi nimekuwepo j.k.t,vyombo vyote vya ulinzi na usalama vinachukua j.k.t.Hiyo kesi ya polisi ni kwa graduates