Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Kutokana na mifumko ya magonjwa yaliyojitokeza katika ulimwengu huu tulionao leo, ingekuwa jambo la busara kama nchi yetu ikafikiria njia za kuwatumia waliohukumiwa vifo ,wafungwa wa maisha ,majambazi na wabakaji ,watumike kwa kulifaidisha taifa ,kwa nikutolewa fursa kwa wachunguzi wa MAABARA kuwatumia katika majaribio ya madawa wanayotengeza kwa ajili ya tiba au kinga kwa binadamu mara tu zinapovumbuliwa na kuonekana tayari kwa majaribio kwa binadamu.