Wanaohitaji makontena futi 40 na futi 20 yapo wahi mapema

Loly

JF-Expert Member
Mar 10, 2011
509
209
Heshima zenu wa kubwa, kwa wale wote wanaohitaji kununua content kwa shughuli zao karibuni yapo ya futi 40 na futi 20 karibuni sana.
 
Bei yake yanaanzia 3milion kwa content la futi20 na 6milion kwa content la futi40 maelewano pia yapo.
 
Mmh nikisikia makontena yanauzwa usawa huu naogopa sana....nisije waita Majaliwa na timu yake wakapiga kambi kwangu
 
Back
Top Bottom