Wanaoamini kuwa Magufuli alikufa kwa COVID-19 ni wanaharakati na wapinzani wa Serikali. Tumsimlaumu Peter Greenberg Kwa kauli yake

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Mar 1, 2019
295
679
Nimesikiliza kipande kifupi cha Narration ya Filamu Tanzania the Royal Tour amesikika Mwongozaji wa Filamu hiyo kuwa Magufuli alifariki kutokana na matatizo ya Moyo lakini walio wengi wanaamini kuwa kifo chake kimetokana na COVID-19.

Walio wengi ni akina nani?

Walio wengi ni wapinzani wa Serikali akiwemo Lissu, Mbowe, Lema na wengineo wenye haiba kama hizo. Pia wanaharakati ni Maria Sarungi, Fatma Karume na wengineo ambao walionesha haiba hiyo.

Wote hawa kwa ujumla walishubaza shingo zao katika mitandao ya kijamii kuchapisha taarifa za kudai kuwa kifo cha Magufuli kimetokana na COVID-19 licha ya Serikali kuweka wazi kuwa kifo chake kilitokana matatizo ya moyo.

Hivyo, kauli ya Peter siyo jambo geni na wala haipaswi kuonekana ni jambo kushangaza kwani ametukumbusha yale yaliyozushwa na wapinzani wa serikali na wanaharakati hao wakati wa kifo cha Magufuli.

Cha ajabu ni kwamba, leo katika mitandao ya kijamii hao wanaharakati na wapinzani wa serikali5ue wanachapisha taarifa za kuona kauli ya Peter kama ni kauli ngeni, wakati wao ndio waliokuwa wa kwanza kufanya hivyo, na kupitia wao, Peter akaeleza kuwa walio wengi wanaamini hivyo licha ya Serikali kueleza ukweli.

Tumuogope Mungu na teknolojia.

Na;

Msema ukweli
23.04.2022
 
Serikali itoe kauli kusawazisha hilo, vyenginevyo ni kuiaminisha hio propaganda.
 
Nimesikiliza kipande kifupi cha Narration ya Filamu Tanzania the Royal Tour amesikika Mwongozaji wa Filamu hiyo kuwa Magufuli alifariki kutokana na matatizo ya Moyo lakini walio wengi wanaamini kuwa kifo chake kimetokana na COVID-19.hi

Walio wengi ni akina nani?

Walio wengi ni wapinzani wa Serikali akiwemo Lissu, Mbowe, Lema na wengineo wenye haiba kama hizo. Pia wanaharakati ni Maria Sarungi, Fatma Karume na wengineo ambao walionesha haiba hiyo.

Wote hawa kwa ujumla walishubaza shingo zao katika mitandao ya kijamii kuchapisha taarifa za kudai kuwa kifo cha Magufuli kimetokana na COVID-19 licha ya Serikali kuweka wazi kuwa kifo chake kilitokana matatizo ya moyo.

Hivyo, kauli ya Peter siyo jambo geni na wala haipaswi kuonekana ni jambo kushangaza kwani ametukumbusha yale yaliyozushwa na wapinzani wa serikali na wanaharakati hao wakati wa kifo cha Magufuli.

Cha ajabu ni kwamba, leo katika mitandao ya kijamii hao wanaharakati na wapinzani wa serikali5ue wanachapisha taarifa za kuona kauli ya Peter kama ni kauli ngeni, wakati wao ndio waliokuwa wa kwanza kufanya hivyo, na kupitia wao, Peter akaeleza kuwa walio wengi wanaamini hivyo licha ya Serikali kueleza ukweli.

Tumuogope Mungu na teknolojia.

Na;

Msema ukweli
23.04.2022
Kama ni covid kweli kweli mbona naniliu mnamlinda mpaka msalani mkihofia nini? . Hakuna damu ya binadamu yoyote inayomwagika bure. Mungu ataanza kuwavua nguo mmoja baada ya mwingine ni suala la wakati tu.
 
Hivi hii Filamu Bunge limeiona na kuijadili kama inakidhi maudhui na kufaa kurushwa?

Kama kuna vipande vinadhalilisha nchi, utamaduni na mila za Kitanzania ziondolewa au actor akarekodi upya
 
Kikubwa na muhimu boriti ktk jicho liliondoka basi. Taxforce ilifilisi wengi kinyume na taratibu kwa mujibu wa sheria. Wapinzani wakapigwa bolt wengine wakapotea na wengine kukimbia familia zao kwa hofu ya kuokotwa pwani ndani ya sandarusi.
Tuliishi kama swala ktk pori au wakimbizi ndani ya kisiwa chetu cha amani. Haijalishi lifanya nini hata Roma haikujengwa siku moja.
 
Nimesikiliza kipande kifupi cha Narration ya Filamu Tanzania the Royal Tour amesikika Mwongozaji wa Filamu hiyo kuwa Magufuli alifariki kutokana na matatizo ya Moyo lakini walio wengi wanaamini kuwa kifo chake kimetokana na COVID-19.

Walio wengi ni akina nani?

Walio wengi ni wapinzani wa Serikali akiwemo Lissu, Mbowe, Lema na wengineo wenye haiba kama hizo. Pia wanaharakati ni Maria Sarungi, Fatma Karume na wengineo ambao walionesha haiba hiyo.

Wote hawa kwa ujumla walishubaza shingo zao katika mitandao ya kijamii kuchapisha taarifa za kudai kuwa kifo cha Magufuli kimetokana na COVID-19 licha ya Serikali kuweka wazi kuwa kifo chake kilitokana matatizo ya moyo.

Hivyo, kauli ya Peter siyo jambo geni na wala haipaswi kuonekana ni jambo kushangaza kwani ametukumbusha yale yaliyozushwa na wapinzani wa serikali na wanaharakati hao wakati wa kifo cha Magufuli.

Cha ajabu ni kwamba, leo katika mitandao ya kijamii hao wanaharakati na wapinzani wa serikali5ue wanachapisha taarifa za kuona kauli ya Peter kama ni kauli ngeni, wakati wao ndio waliokuwa wa kwanza kufanya hivyo, na kupitia wao, Peter akaeleza kuwa walio wengi wanaamini hivyo licha ya Serikali kueleza ukweli.

Tumuogope Mungu na teknolojia.

Na;

Msema ukweli
23.04.2022
Kama alikufa kwa magonjwa ya moyo, COVID-19 au kitu chochote kile, haiondoki ukweli wa kwamba alikufa. Muhimu ni kwetu tulio hai kujiandaa tumalize safari zetu salama. Watu wanawanga marehemu, utadhani wao hawatakufa.
 
Jamani tukubali kifo ni kifo tu, hata kingesababishwa na nini. Tukubali tu mwenzetu katutangulia nasi tutafuata. Tusiyoyajua ni mawili tu, yaani tutakufa lini na sababu ya vifo vyetu. Haijalishi
Hakuna mtu yeyote aliyesema kifo siyo kifo! Na hakuna anayekataa kuwa na sisi tutafuata! Na hakuna asiyejua hakuna ajuaye saa na sababu ya kifo! (pengine walio hukumumiwa kufa wanajua?) Watu wanajadalili sababu ya kifo chake kama wanavyojadili kila siku sababu za vifo vya kila binadamu. Unajaribu kutumia technic za kizee na kizamani kuzima mjadala hapa.
 
Nimesikiliza kipande kifupi cha Narration ya Filamu Tanzania the Royal Tour amesikika Mwongozaji wa Filamu hiyo kuwa Magufuli alifariki kutokana na matatizo ya Moyo lakini walio wengi wanaamini kuwa kifo chake kimetokana na COVID-19.

Walio wengi ni akina nani?

Walio wengi ni wapinzani wa Serikali akiwemo Lissu, Mbowe, Lema na wengineo wenye haiba kama hizo. Pia wanaharakati ni Maria Sarungi, Fatma Karume na wengineo ambao walionesha haiba hiyo.

Wote hawa kwa ujumla walishubaza shingo zao katika mitandao ya kijamii kuchapisha taarifa za kudai kuwa kifo cha Magufuli kimetokana na COVID-19 licha ya Serikali kuweka wazi kuwa kifo chake kilitokana matatizo ya moyo.

Hivyo, kauli ya Peter siyo jambo geni na wala haipaswi kuonekana ni jambo kushangaza kwani ametukumbusha yale yaliyozushwa na wapinzani wa serikali na wanaharakati hao wakati wa kifo cha Magufuli.

Cha ajabu ni kwamba, leo katika mitandao ya kijamii hao wanaharakati na wapinzani wa serikali5ue wanachapisha taarifa za kuona kauli ya Peter kama ni kauli ngeni, wakati wao ndio waliokuwa wa kwanza kufanya hivyo, na kupitia wao, Peter akaeleza kuwa walio wengi wanaamini hivyo licha ya Serikali kueleza ukweli.

Tumuogope Mungu na teknolojia.

Na;

Msema ukweli
23.04.2022
Sisi tunajua alikufa kwa covid! Hiyo ya moyo ni yenu wongo! Covid haikuwa ya kupuuziwa
 
Nimesikiliza kipande kifupi cha Narration ya Filamu Tanzania the Royal Tour amesikika Mwongozaji wa Filamu hiyo kuwa Magufuli alifariki kutokana na matatizo ya Moyo lakini walio wengi wanaamini kuwa kifo chake kimetokana na COVID-19.

Walio wengi ni akina nani?

Walio wengi ni wapinzani wa Serikali akiwemo Lissu, Mbowe, Lema na wengineo wenye haiba kama hizo. Pia wanaharakati ni Maria Sarungi, Fatma Karume na wengineo ambao walionesha haiba hiyo.

Wote hawa kwa ujumla walishubaza shingo zao katika mitandao ya kijamii kuchapisha taarifa za kudai kuwa kifo cha Magufuli kimetokana na COVID-19 licha ya Serikali kuweka wazi kuwa kifo chake kilitokana matatizo ya moyo.

Hivyo, kauli ya Peter siyo jambo geni na wala haipaswi kuonekana ni jambo kushangaza kwani ametukumbusha yale yaliyozushwa na wapinzani wa serikali na wanaharakati hao wakati wa kifo cha Magufuli.

Cha ajabu ni kwamba, leo katika mitandao ya kijamii hao wanaharakati na wapinzani wa serikali5ue wanachapisha taarifa za kuona kauli ya Peter kama ni kauli ngeni, wakati wao ndio waliokuwa wa kwanza kufanya hivyo, na kupitia wao, Peter akaeleza kuwa walio wengi wanaamini hivyo licha ya Serikali kueleza ukweli.

Tumuogope Mungu na teknolojia.

Na;

Msema ukweli
23.04.2022
Hajatutendea haki sukuma gang na watanzania tulio wengi tunaoamini aliuawa....
Angetuwekea kakipande ketu.
Ndio maana tunaomba uchunguzi huru wa kifo chake.
 
Kama alikufa kwa magonjwa ya moyo, COVID-19 au kitu chochote kile, haiondoki ukweli wa kwamba alikufa. Muhimu ni kwetu tulio hai kujiandaa tumalize safari zetu salama. Watu wanawanga marehemu, utadhani wao hawatakufa.
Ukweli tunaoutaka hapa ni alikufa kwa moyo, polonium au corona ya Greenberg.
Kama ni corona kusanyiko lote lile hadi wakuu wa nchi hakuna hata mmoja aliyeugua licha ya
kuhudhuria mazishi ya kwa nini???
Greenberg amepataje kujua walio wengi tunaamini alikufa kwa corona???
 
Back
Top Bottom