Wananichanganya sana pliz naomba mnisaidie!

Cabaiser

Member
Jul 13, 2011
8
2
mi ni mgeni na nimeijua jana blog I got ma fist degree from kualalumper univasity malesyia now on nipo kitaa natafuta job.But there iz two girls who drive me so crez huyu wa kwanza kiukweli ninampenda sana bt baada ya kumwambia hakunijibu ki2 then after tukaendelea na urafiki bt kila nikimkumbusha kuhusu jibu anacheka alafu anasema bado anafikiria so juzi kati ni kambana sana akanijibu Eti mi ni HANDSOME sana so eti ninamdanganya na haamini kama kweli ninampenda! Kiu kweli hajakosea coz I so handsome na hata nikivaa makafaulaya bado huwa na ng'ara sana and I proud of it.Nikajaribu kumbembeleza lakini wapi! Bas nikamchunia kama 3weeks mwenyewe akaanza tena mara kunibeep,sometimes ana tex bt nikimkumbusha anadai eti nina mtania coz mi ni HANDSOME sana na siyo type yake!huyu mwingine yeye ananipenda sana but simfili kivile japo ninashawishika kumpenda coz naona anamuelekeo ijapokuwa huyu wa kwanza ndo ninampenda zaidi !! Kiukweli wa kuu wananichanganya sana hawa mabinti plz help me.
 
mi ni mgeni na nimeijua jana blog I got ma fist degree from kualalumper univasity malesyia now on nipo kitaa natafuta job.But there iz two girls who drive me so crez huyu wa kwanza kiukweli ninampenda sana bt baada ya kumwambia hakunijibu ki2 then after tukaendelea na urafiki bt kila nikimkumbusha kuhusu jibu anacheka alafu anasema bado anafikiria so juzi kati ni kambana sana akanijibu Eti mi ni HANDSOME sana so eti ninamdanganya na haamini kama kweli ninampenda! Kiu kweli hajakosea coz I so handsome na hata nikivaa makafaulaya bado huwa na ng'ara sana and I proud of it.Nikajaribu kumbembeleza lakini wapi! Bas nikamchunia kama 3weeks mwenyewe akaanza tena mara kunibeep,sometimes ana tex bt nikimkumbusha anadai eti nina mtania coz mi ni HANDSOME sana na siyo type yake!huyu mwingine yeye ananipenda sana but simfili kivile japo ninashawishika kumpenda coz naona anamuelekeo ijapokuwa huyu wa kwanza ndo ninampenda zaidi !! Kiukweli wa kuu wananichanganya sana hawa mabinti plz help me.
Dogo tafuta kazi kwanza halafu i wonder if huko Malaysia hii ndio lugha uliyokuwa unafundishwa i doubt it yaani chuo ulichosoma kinaitwa kualalumper univasity malesyia nimejaribu ku-google hata sijaona such kind of name sasa sijui hicho chuo kiko wapi.
 
Dogo tafuta kazi kwanza halafu i wonder if huko Malaysia hii ndio lugha uliyokuwa unafundishwa i doubt it yaani chuo ulichosoma kinaitwa kualalumper univasity malesyia nimejaribu ku-google hata sijaona such kind of name sasa sijui hicho chuo kiko wapi.
Mkuu pliz acha jazba.mi nimeandika utambulisho wangu ili nieleweke vizuri bt mi sio dogo I young handsome boy aged 26years old.kuhusu lugha nimeandika ili kufupisha tu mkuu na sio kama lugha inanisumbua.By de way mimi ninachoomba ni ushauri so pliz concetrate on what I 'm just asking hayo mambo ya chuo hayakuhusu.
 
Mkuu pliz acha jazba.dot be so stupid mi nimeandika utambulisho wangu ili nieleweke vizuri bt mi sio dogo I young handsome boy aged 26years old.kuhusu lugha nimeandika ili kufupisha tu mkuu na sio kama lugha inanisumbua.By de way mimi ninachoomba ni ushauri so pliz concetrate on what I 'm just asking hayo mambo ya chuo hayakuhusu.
Ushauri tafuta kazi kwanza
 
mi ni mgeni na nimeijua jana blog I got ma fist degree from kualalumper univasity malesyia now on nipo kitaa natafuta job.But there iz two girls who drive me so crez huyu wa kwanza kiukweli ninampenda sana bt baada ya kumwambia hakunijibu ki2 then after tukaendelea na urafiki bt kila nikimkumbusha kuhusu jibu anacheka alafu anasema bado anafikiria so juzi kati ni kambana sana akanijibu Eti mi ni HANDSOME sana so eti ninamdanganya na haamini kama kweli ninampenda! Kiu kweli hajakosea coz I so handsome na hata nikivaa makafaulaya bado huwa na ng'ara sana and I proud of it.Nikajaribu kumbembeleza lakini wapi! Bas nikamchunia kama 3weeks mwenyewe akaanza tena mara kunibeep,sometimes ana tex bt nikimkumbusha anadai eti nina mtania coz mi ni HANDSOME sana na siyo type yake!huyu mwingine yeye ananipenda sana but simfili kivile japo ninashawishika kumpenda coz naona anamuelekeo ijapokuwa huyu wa kwanza ndo ninampenda zaidi !! Kiukweli wa kuu wananichanganya sana hawa mabinti plz help me.

Hii siyo spam kweli......mbona thread kama hii inajirudia rudia humu?
 
Mkuu tatizo lako ni dogo sana mi nafikiri sisi ambao sio ma HB hatunachangamoto kama hizi ingawa tunan'goa mabeatiful wa ukweli. Ma Handsome please msaidieni mwenzenu.
Penda unapopendwa zaidi.
 
I presume wewe ndiye yule anayetumia username "handsome" the way unavoandika huwezi kukwepa.. Mtafute YOYO aliyeolewa na mzungu uongee nae hizo taka taka zako..
 
Wewe c yule handsome wa UDOM kweli? Mbona mtiririko wa kazi zenu unafanana? Handsome, oh anaogopa, mara chuo,..kha! Stop being pathetic, 26 yrs afu unatuletea desa la kitoto hv? Aaaagh!
 
Labda unajisifia na kujiweka juu
Kupita kiasi dear...
Unajua tena waswahili wasemavyo..
kwa anae jikwaza....

Polee
 
kwa kweli acheni nicheke jamani,hivi inakuwaje a grown up person who attained the age of majority uje kuandika huu upupu?we handsum nadhani unahitaji kupepewa mana statements yako haina mashiko!
 
Mimi si mtaalam sana wa hiki kilugha cha weupe, hizo red inaonyhesha huko Kuala Lumpur wazazi wenu ama serikali yetu inapoteza pesa tu kuwasomesha huko, bora hata sie wa St Mwanamboka tunaweza tukanyoosha kidodo. Tafuta kazi bwana handsome ama rudi malaysia ukasome tena ama kaenglish course katakufaa kimtindo au vipi? Subiri wakushauri wengineo tupo wengi sana hapa JF
mi ni mgeni na nimeijua jana blog I got ma fist degree from kualalumper univasity malesyia now on nipo kitaa natafuta job.But there iz two girls who drive me so crez huyu wa kwanza kiukweli ninampenda sana bt baada ya kumwambia hakunijibu ki2 then after tukaendelea na urafiki bt kila nikimkumbusha kuhusu jibu anacheka alafu anasema bado anafikiria so juzi kati ni kambana sana akanijibu Eti mi ni HANDSOME sana so eti ninamdanganya na haamini kama kweli ninampenda! Kiu kweli hajakosea coz I so handsome na hata nikivaa makafaulaya bado huwa na ng'ara sana and I proud of it.Nikajaribu kumbembeleza lakini wapi! Bas nikamchunia kama 3weeks mwenyewe akaanza tena mara kunibeep,sometimes ana tex bt nikimkumbusha anadai eti nina mtania coz mi ni HANDSOME sana na siyo type yake!huyu mwingine yeye ananipenda sana but simfili kivile japo ninashawishika kumpenda coz naona anamuelekeo ijapokuwa huyu wa kwanza ndo ninampenda zaidi !! Kiukweli wa kuu wananichanganya sana hawa mabinti plz help me.
 
kama wewe ni handsome subiri wakutongoze, pia nahisi utakuwa nao wengi ndo mana huyo dada anajaribu kujiepusha na matatizo. Bwana mdogo acha kujiproud, mahandsome huwa hawajisemi, afu unadai una miaka 26, means you are old enough kufanya mambo ya kimaendeleo, sio kutangaza uhendisamu wako.

pili kama unaona uhendisamu wako ni dili acha kufanya kazi afu uponyeshwe na maisha.
 
Wewe c yule handsome wa UDOM kweli? Mbona mtiririko wa kazi zenu unafanana? Handsome, oh anaogopa, mara chuo,..kha! Stop being pathetic, 26 yrs afu unatuletea desa la kitoto hv? Aaaagh!
Come down ma men fact iz jana wakat na tafuta habari za Rostam aziz ndo wakaniletea hii forum mi ni mgeni humu jamvini huyo HANDSOME wa UDOM ndo yupi? Hivi kweli UDOM pale kuna ma handsome kweli pale? Plz don't humiliate me,help me pliz.
 
Humu JF hakuishi vituko.Kama wewe ni handsome kweli una wasiwasi gani?
 
Back
Top Bottom