hata steven wassira ni handsome kwa maono na uelewa wake na the way anavyojitazama na kujilinganisha na wana BUNDA wenzake,na wewe ni handsum katika mazingira na ufahamu wako..poa bana handsum pambana utapendwa tu ila nachojua mi handsome pesa bwana ukiwa nazo utapata utakacho!