FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
kamanda mtema mnatutisha kidogo jamani chama makini hakitakiwi kutoa majawabu kama haya yasiyojitisheleza. wewe ni mbunge tunategemea
kuwa huko jikoni sasa inakuwaje makamanda wengine wanakwenda na info. frontline bila kuwa brief nyie wenyewe kwa wenyewe kwanza ili nyie
wote muwe na coherent message. basi tunategemea utawasiliana na wahusika ili tupate majawabu ya uhakika.
Usimlaumu sana kakiri mapungufu, Mheshimiwa Mbunge kafanya kazi kubwa sana Igunga na katuletea report ya huko mpaka wana JF tufaidike nayo, bofya hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-rostam-aziz-hutasameheka-13.html#post2601004