Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Kutokana na msimamo usioteteleka alionao Dk. Kitila mkumbo katika kuwatetea wananchi......pasipo kuogopa kunyimwa mkataba kama ilivyo kwa Baregu na Rwaitama............ameombwa na wananchi agombee jimbo la Iramba magharibi ili ashirikiane na Tundu Lissu kwa Ukaribu ili kuahkikisha Iramba yote inaendelea.
Ikumbukwe kuwa kwa sasa Mbunge wa Iramba Magharibi ni Mwigulu Nchemba ( Mchumi 1[SUP]st[/SUP] Class!!)
Hapa karata njema. Na Mkumbo akienda tu pale Zero class Uchumi kwisha. Mkumbo upo!!! unategemewa sana our expert. Nakuaminia.