Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,110
Unaelewa ulichokiandika lakini au na wewe ndio wale wale wazee buku 2 per day kupost ujinga JF? Jifunze kwanza Niger Delta wanadai nini halafu ndio utajuwa madai ya wamakonde ni ya msingi na sasa kimbilio la CCM ni kwa Wazaramo na Wakwele tu ambao raslimali zao ni mihogo na kisamvu tu labda na mafenesi.Hivi hiyo gesi ikibaki mtwara bila kupelekwa Dar ndo itawafaidia nini? Rasilimali ni vizuri ikajulikana ni za nchi wala siyo mkoa, wilaya au kanda. Kama Mtwara ungekuwa jiji lenye watu wengi na matumizi makubwa na fursa ya kutumia gesi ikapelekwa Dar na kuacha Mtwara hapo kungekuwa na tatizo.