Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kuliko aibu ya wabunge wa ccm wanavyo liaibisha taifa kwa kupitisha miswaada ya sheria ya kifisadi?Aiseeeee, wabunge wa upinzani wanatuaibisha sana
Kuliko aibu ya wabunge wa ccm wanavyo liaibisha taifa kwa kupitisha miswaada ya sheria ya kifisadi?Aiseeeee, wabunge wa upinzani wanatuaibisha sana
Alikuwa waziriMwaka 2014, Magufuli alikuwa Rais?
Tunajua cha kufanya cha kwanza ni kuwapiga chini was idadi kubwa iwezekanavyo wabunge wa CCM ambao ndio tatizo
- Tarehe 30 Mei 2014, siku ya Ijumaa, wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini ambapo Waziri Kivuli wa wizara hiyo alikuwa John Mnyika, walisusa Bunge na kutoka nje baada ya kutokuwa na hoja za kupambana na Prof. Muhongo.
- Leo tatehe 2 Juni 2017, siku ile ile ya Ijumaa, wabunge wale wale wa Upinzani kwenye Mjadala ule ule wa Bajeti ya Wizara ile ile ya Nishati na Madini, chini ya Waziri Kivuli yule yule John Mnyika, wanasusia tena Bunge na Kutoka nje safari hii Wizara hiyo ikishikiliwa kwa muda na Charles Mwijage.
- Wizara ilipokuwa chini ya Profesa, CHADEMA waliweka mpira kwapani. Sasa Prof hayupo, wanaweka mpira kwapani. Hapo ndipo utakapojua kwa nini siku zote KIVULI kina rangi NYEUSI hata kama ni cha Mzungu.
- 2020 sifanyi Makosa. Nitamchagua tena Rais Magufuli, Mbunge wa CCM na Diwani wa CCM ambao wanatuwakilisha vema kwenye vikao.
Kwa ujinga wako na kutokuwa na elimu bado unaamini eti ccm inatoa sulphur?hizo ni fedha za walipa kodi wa TanzaniaKwenu Newala CCM inagawa Sulphur Bure! CCM hoyeeeee!
Ni ndio kitu gani?Na sasa ni?
Wamelaanika kwa kula rambirambiCcm ni chama cha ajabu sana ,we jamaa ni zezeta kabisa.hivi unajitoa ufahamu kwamba hujui yaliyotokea bungeni au? Hivi mpoje lakini nyie?
Wanajadili nini wakati sheria za uchimbaji gesi na madini zinazo wapa hao ACACIA mamlaka ya kuinyonya nchi walizipitisha wao!!! Fake politicians bora watokeeeeerWanajadili Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini. Hoja ya Mchanga wa Makinikia ni mojawapo. Nyie endeleeni kutetea ACACIA kwenye facebook
Achana nao hao wanajua kaburi lao 2020 tena na hivi hali ya wananchi ngumu namna hii.wananchi wana hasira ile mbaya.Ccm ni chama cha ajabu sana ,we jamaa ni zezeta kabisa.hivi unajitoa ufahamu kwamba hujui yaliyotokea bungeni au? Hivi mpoje lakini nyie?
Kuliko wabunge wa ccm ni bora jimbo lisiwe na mbunge. Hatuwezi kuwa na wawakilishi wasio na uwezo wa kureason kazii yao ni ndiyoooo. Nitaendelea kuchagua mbunge wa upinzani (CHADEMA) na hata sasa ndiyo mwakilishi na anafanya vizuri. Wewe na tumbo lako endelea kuchagua kina kibajaji
- Tarehe 30 Mei 2014, siku ya Ijumaa, wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini ambapo Waziri Kivuli wa wizara hiyo alikuwa John Mnyika, walisusa Bunge na kutoka nje baada ya kutokuwa na hoja za kupambana na Prof. Muhongo.
- Leo tatehe 2 Juni 2017, siku ile ile ya Ijumaa, wabunge wale wale wa Upinzani kwenye Mjadala ule ule wa Bajeti ya Wizara ile ile ya Nishati na Madini, chini ya Waziri Kivuli yule yule John Mnyika, wanasusia tena Bunge na Kutoka nje safari hii Wizara hiyo ikishikiliwa kwa muda na Charles Mwijage.
- Wizara ilipokuwa chini ya Profesa, CHADEMA waliweka mpira kwapani. Sasa Prof hayupo, wanaweka mpira kwapani. Hapo ndipo utakapojua kwa nini siku zote KIVULI kina rangi NYEUSI hata kama ni cha Mzungu.
- 2020 sifanyi Makosa. Nitamchagua tena Rais Magufuli, Mbunge wa CCM na Diwani wa CCM ambao wanatuwakilisha vema kwenye vikao.
Mnyika msanii yeye akiona serikali inafanya kile wananchi wanataka anaweweseka kutafuta kiki. TumewashtukiaTuwasaport walio baki kupitisha sheria mbovu zinazo ILA nchi???