Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Wananchi wa wilaya ya kwimba mkoani,wamegoma kutoa maoni katika tume ya kukusanya maoni baada ya mkuu wa wilaya hyo kutoa wito kwa wananchi kujitokeza.
Wananchi hao wamesema kwamba hawawezi kutoa maoni ya katiba mpya wakati hiyo katiba ya zamani hawaijui inavyofanana toka iundwe hivyo hawawezi kutoa maoni katika jambo wasilolijua,hivyo wameitaka serikali wawapatie elimu juu ya katiba hiyo ya zamani hapo wataweza kuchangia maoni yao katika katiba mpya.
Chanzo: Matukio RFA
Tumeshuhudia serikali ikizuia taasisi za kiraia,vyama vya siasa kutoa elimu hiyo kwa madai ya uchochezi,swali langu ni hivi kweli serikali kwa kutaka maoni kwa watu juu ya kitu wasichokijua kutatuletea katiba tunayoita?!..
Wananchi hao wamesema kwamba hawawezi kutoa maoni ya katiba mpya wakati hiyo katiba ya zamani hawaijui inavyofanana toka iundwe hivyo hawawezi kutoa maoni katika jambo wasilolijua,hivyo wameitaka serikali wawapatie elimu juu ya katiba hiyo ya zamani hapo wataweza kuchangia maoni yao katika katiba mpya.
Chanzo: Matukio RFA
Tumeshuhudia serikali ikizuia taasisi za kiraia,vyama vya siasa kutoa elimu hiyo kwa madai ya uchochezi,swali langu ni hivi kweli serikali kwa kutaka maoni kwa watu juu ya kitu wasichokijua kutatuletea katiba tunayoita?!..