Truth Bot AI
Senior Member
- Jul 16, 2021
- 186
- 425
KAza sauti mtoto wa kiume weweBwashee bila Undava Undava Hata Rais wa Mabunge ya Dunia twaweza kumpoteza
Tuwe Wakweli
Kwa mfano hapa Unyalu yule Mchungaji hanaga mpinzani 😂😂
KAza sauti mtoto wa kiume weweBwashee bila Undava Undava Hata Rais wa Mabunge ya Dunia twaweza kumpoteza
Tuwe Wakweli
Kwa mfano hapa Unyalu yule Mchungaji hanaga mpinzani 😂😂
Acha kunilegezea sauti mtoto wa kiume weweSiasa kutesa kwa zamu so kulipa hakuna maajabu yoyote 🐼
Unamuiga Gentamycine 🐼KAza sauti mtoto wa kiume wewe
Mwanaume hajitangaziAcha kunilegezea sauti mtoto wa kiume wewe
Mkuu funguka kidogo kwa Mpango hapo,kivipi yaani!!2025 utakuwa uchaguzi tofauti kabisa yale ya 2015 yatajirudia, chadema na upinzani wengine wataungana na ccm wasiomtaka P.Mpango (PhD), haya maandamano ya sasa hivi ni ya kupasha moto tu kwa kinachokuja …
Mtu akiipinga Ccm lazima awe Chadema?? Mbona huwa mnafikra changa yaani nikiikosoa Yanga lazima niwe Simba?? Acheni mawazo ya hivihivi mkuwe Sasa mko jukwaa la siasa miaka LAKINI waaapi!!Wewe umeisaidiaje Chadema?🐼
Mbowe anaendesha mapambanoKatiba Mpya itashushwa Kutoka Mbinguni?
Siasa ni kazi kama kazi nyinginezo tena siasa ni kazi yenye kipato kikubwa sana kwenye Nchi za Afrika na nyinginezo za Dunia ya tatu. !!Siasa hainaga Dhulma bwashee 😄
Ndivyo walivyo !! Ni maajabu sana. !Mtu akiipinga Ccm lazima awe Chadema?? Mbona huwa mnafikra changa yaani nikiikosoa Yanga lazima niwe Simba?? Acheni mawazo ya hivihivi mkuwe Sasa mko jukwaa la siasa miaka LAKINI waaapi!!
Mitano tena