mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
hao vijana wamekula pesa ya bure tuu hawana hata hoja. ndio kwanza wanazidi kukiumiza"Tumewatuma vijana zaidi ya elfu mbili kwenye mitandao ya kijamii wakitetee chama!"- Nape Nnauye
hao vijana wamekula pesa ya bure tuu hawana hata hoja. ndio kwanza wanazidi kukiumiza"Tumewatuma vijana zaidi ya elfu mbili kwenye mitandao ya kijamii wakitetee chama!"- Nape Nnauye
YESU MNAZARETI UMEMUINGIZA KIAINA TU , WEWE NI WAHUYO MWINGINE! maneno yako, akili yako na uwezo wako wa kupima mambo unafichua wewe ni waaina ipi!raia masikini wasio na hatia wanakufa lakini viongozi wao wanabaki na kupata umaarufu wa kisiasa ndani na nje . ndugu mwananchi mpendwa ukisikia kuna mkutano maandamano au mkusdanyiko wowote unaohusiana na vya vyama vya siasa ukagundua hauna kibali tafadhari sana kaa mbali kwa usalama wa maisha yako..... MTUME MUHAMMAD S.A.W alisema usipende kujiweka mbele mbele. naye YESU wa NAZARETI alialikwa kwenye sherehe kamwe hakwenda kukaa kwenye mstari wa mbele. mwenye macho na aone na mwenye masikio asikie TANZANIA tunakoelekea sasa sio CHADEMA wanaipeleka nchii iwe kama SOMALIA au WATUTSI NA WAHUTU. ...... najiuliza hivi ikitokea uchaguzi ujao na CHADEMA wakashindwa itakuwaje?????????????
raia masikini wasio na hatia wanakufa lakini viongozi wao wanabaki na kupata umaarufu wa kisiasa ndani na nje . ndugu mwananchi mpendwa ukisikia kuna mkutano maandamano au mkusdanyiko wowote unaohusiana na vya vyama vya siasa ukagundua hauna kibali tafadhari sana kaa mbali kwa usalama wa maisha yako..... MTUME MUHAMMAD S.A.W alisema usipende kujiweka mbele mbele. naye YESU wa NAZARETI alialikwa kwenye sherehe kamwe hakwenda kukaa kwenye mstari wa mbele. mwenye macho na aone na mwenye masikio asikie TANZANIA tunakoelekea sasa sio CHADEMA wanaipeleka nchii iwe kama SOMALIA au WATUTSI NA WAHUTU. ...... najiuliza hivi ikitokea uchaguzi ujao na CHADEMA wakashindwa itakuwaje?????????????
Hebu eleza kilichotokea....SOMALIA...WATUTSI NA WAHUTU. ......