kwa kweli naona hii nchi wanajeshi wameamua kujichukulia sheria mkononi na kufunga barabara ya mandela kuanzia hostel mpaka external
kwa kweli naona hii nchi wanajeshi wameamua kujichukulia sheria mkononi na kufunga barabara ya mandela kuanzia hostel mpaka external
samahani, ati wewe pia ni soja??Pole sana ndugu, ni wanajeshi wamechukua sheria mkononi au wewe hujui sheria?.
unatakiwa kwanza wewe kufanya kazi yako ,ndipo uambie wengine kufanya kazi zao.
kuna ajali imetokea magari yao yamegongana yenyewe.ila sasa wamefungua barabara
kwahiyo magari yanagongana yenyewe kama ng'ombe sio??? mambaffff kabisa haya magari yanayogongana yenyewekuna ajali imetokea magari yao yamegongana yenyewe.ila sasa wamefungua barabara
Kwani zile siku 100 bado tu?