Wanajamii natangaza nia nataka jimbo la musoma mjini 2015

nyie ndiyo aina ya watu munaotoa pongezi kwa baraza la mawaziri hata kabla hawajaanza kazi.

vincent nyerere hajamaliza hata mwezi ulishaanza kuwaza kugombea.

una uchu wa madaraka.

utafulia kisiasa.

soon

kaka unakosea unaposema kuwa NI UCHU WA MADARAKA. Na isitoshe NINAMUAMINI MBUNGE ALIYOPO. Na wewe ni mmoja kati wa watu wanaoamini KATIKA MABADILIKO na MAGEUZI. So uwepo wake ninautambua. KUMBUKA hapa, hata yeye anapata Challenge kuwa AWAFANYIE WANANCHI KILE ALICHO WAAHIDI. Mimi ni mmoja ya watu waliompigia KURA, haimaanishi ninapoenda kuomba Ridhaa kwa wananchi inamaana kuwa NI WIVU. Kwa mfumo huo tutatengeneza Monduli nyingine, Mtera nyingina NA CCM nyingine. Wapo wanachama wa CCM wanaamini katika yule anayewapinga NI WIVU. Hapa tunahitaji CHANGAMOTO kutoka kwa watu tofauti, so SIYO DHAMIRA YANGU NI WIVU au UCHU niko nyuma yake kwa kila JEMA ila sitokuwa nyuma yake KINYUME. Nampongeza nyerere jr.
 
wanajamii, msoma mjini ni jimbo langu la kuwa mbunge tokea nimezaliwa, na nimezaliwa katika familia ya kisiasa ambayo baba yangu mzazi ALIUWAWA kwa mbinu na ishu za kisiasa

NINAYO DHAMIRA YA KWELI KATIKA KULETA MABADILIKO KATIKA JIMBO HILI.

Sasa ninaomba ushirikiano wenu nichukue jimbo hili. Kwa kuwa KAMPENI ZANGU ZINAANZA RASMI KUANZIA TRH 13/12/2010 - 30/10/2015

Naombeni kura zenu TAFADHALI

Angalia na wewe usije ukauwawa maana yaliyomkuta babako tunayajua si umeona alefanikisha kumuua babako kapata ulaji kwenye chama?
 
wanajamii, msoma mjini ni jimbo langu la kuwa mbunge tokea nimezaliwa, na nimezaliwa katika familia ya kisiasa ambayo baba yangu mzazi ALIUWAWA kwa mbinu na ishu za kisiasa

NINAYO DHAMIRA YA KWELI KATIKA KULETA MABADILIKO KATIKA JIMBO HILI.

Sasa ninaomba ushirikiano wenu nichukue jimbo hili. Kwa kuwa KAMPENI ZANGU ZINAANZA RASMI KUANZIA TRH 13/12/2010 - 30/10/2015

Naombeni kura zenu TAFADHALI


We mbona wa ajabu hivyo, Mbona hutaki kutupa nafasi tumpime mbunge wetu mpya tena kijana mpiganaji! Ni kweli una dhamira ya kuongoza harakati za maendeleo Musoma au ndio ulafi tu wa madaraka. Give us a break plz, embu tuache tuone Vicent atatufanyia nini, au ulikuwa umelewa wakati una post hii thread?
 
wewe kweli kiherehere.

umenichekesha na maneno yako. kwamba na mimi ni mwanasiasa. evidensi?

kwa hiyo utakuwa mgombea binafsi? haipo kwenye katiba. sahau kuwa mbunge 2015.

Ng'wanangwa, being politician doesn't mean YOU MUST BE UNDER POLITICAL PATY. so hata prof Safari, ni mwanasiasa lakini katika mfumo wa uchambuzi.Hata wewe, maana unaweza kuona mapungufu kwa mwanasiasa. So naomba kwanza UFUTE ILE KAULI YAKO YA MWANZO KUWA kutangaza nia ni UCHU au WIVU.Pili brother, hata wewe unaweza kuamua siku moja, LAKINI HAKUNA KIPENGELE KINACHOKULAZIMISHA ETI MPAKA USUBILI UCHAGUZI UFIKE.Kutangaza nia sasa kuna faida mbili, moja ni kuweka hadgarani nia yangu, tena kwa WATU WALIYO NA UELEWA HAPA JF, katika mfumo wa kisiasa za TZ, pili ni kwa Mbunge aliyopo.
Dhamira yangu inaweza ikawa ni msaada kwa watu wa musoma, pia katika mfumo uliopo Nyerere Jr, akifanya vizuri anaweza kujitangaza mpaka nje ya MUSOMA (na maanisha kama atakuwa ni mtu makini siyo wa kusinzia) na inaweza kufungua milango ya yeye kugombea katika jimbo lingine na kukubalika, ila alienda pale kwwa mara ya kwanza akijua kuwa HAPA NDIO NITAWEZA KUUDHIHIRISHIA UMA.
So ninakuona kabisa na wewe ni mwanansiasa mzuri kwa kuwa unaweza kusoma alama na mapungufu ya kisiasa na kuyachambua . HAUHITAJI CHAMA , INAJIHITAJI WEWE KWANZA
 
Karibu sana kijana hii imekaa vizuri maana itatusaidia kwa mbunge aliyepo kwa sasa mr. V. Nyerere kufanya kazi kama kichaa ili kuepuka upinzani.
Msimkatishe tamaa kijana maana pia tunahitaji ushindani kati ya upinzani kwa upinzani na si upinzani kwa chama tawala tu.
Hii itatusaidia sana kwa wabunge wetu kuondokana na zana ya ulevi wa madaraka na pia itawafanya wakomae kisiasa. Angalieni Mwera alichaokifanya CDM ile ni kuonyesha kutokukomaa kisiasa na kulewa madaraka.
 
We mbona wa ajabu hivyo, Mbona hutaki kutupa nafasi tumpime mbunge wetu mpya tena kijana mpiganaji! Ni kweli una dhamira ya kuongoza harakati za maendeleo Musoma au ndio ulafi tu wa madaraka. Give us a break plz, embu tuache tuone Vicent atatufanyia nini, au ulikuwa umelewa wakati una post hii thread?

Deodat, YAWEZEKANA MIMI NI MPIGANAJI KULIKO YEYE, ILA SIJAPATA NAFASI!!! Vipi ningekuwa pale leo?? kama mmbunge wa musoma mjini??
Nakubaliana na wewe kwa 100% anahitaji ku[ewa nafasi, ILA kutangaza nia HAKUMAANISHI VINCENT AONDOLEWE, ila AFANYE KAZI TENA KWA BIDII.
Bado dhamira ipo palepale LAKINI ISIYO ATHIRI UTENDAJI WA NYERERE.
Nawasilisha.
 
Karibu sana kijana hii imekaa vizuri maana itatusaidia kwa mbunge aliyepo kwa sasa mr. V. Nyerere kufanya kazi kama kichaa ili kuepuka upinzani.
Msimkatishe tamaa kijana maana pia tunahitaji ushindani kati ya upinzani kwa upinzani na si upinzani kwa chama tawala tu.
Hii itatusaidia sana kwa wabunge wetu kuondokana na zana ya ulevi wa madaraka na pia itawafanya wakomae kisiasa. Angalieni Mwera alichaokifanya CDM ile ni kuonyesha kutokukomaa kisiasa na kulewa madaraka.

Mwana Ukweli, imekaa vizuri. ila kwa baadhi ya wanajamii wao wanaamini kuwa JAMBO NILILOLIWEKA HAPA ni kinyume, na wanashindwa kuelewa kuwa ni msaada KWANZA KWA MBUNGE MWENYEWE na WANAMUSOMA. Afenye kazi, waamuzi na majaji ni wananchi katika uchaguzi.
Ila bado ninamuheshimu Kama mbunge na anayo support yangu.
 
Harakati za mambo ya msingi huwa zinaanza kwa muda mrefu.Kwa hiyo tegemea hii post kuwepo kwa kipindi chote.Pia nategemea challenege toka kwako na support tokea kwako. Tuko pamoja Hsninyo

hamna noma. Tegemea challenges nyingi sana ila we songa mbele tu.
 
Back
Top Bottom