Wanaijeria kuitwa Wapopo

Balantanda

JF-Expert Member
Jul 13, 2008
12,476
4,755
Heshi mbele wakuu...Mara nyingi nimekuwa nikisikia hawa jamaa wa Nigeria(hasa waliopo nje ya bara la Afrika) wakiitwa wapopo..Hivi hili neno lina maanisha nini???,ni nini asili yake???,naomba mnijuze hilo wakuu maana linanichanganya...Be blessed
 
Heshi mbele wakuu...Mara nyingi nimekuwa nikisikia hawa jamaa wa Nigeria(hasa waliopo nje ya bara la Afrika) wakiitwa wapopo..Hivi hili neno lina maanisha nini???,ni nini asili yake???,naomba mnijuze hilo wakuu maana linanichanganya...Be blessed

Sababu ya TAMAA, UTAPELI na Undumila kuwili wao, ndio maana wamefananishwa na Popo.

Kama wewe ni msomaji wa hekaya na ngano utakumbuka simulizi moja iliyokuwa inahusu ndege na wanyama. Wanyama wakataka msaada kwa Popo, Popo akawatolea nje kwa kudai kuwa yeye ni ndege kwa sababu ana mbawa na ana ruka hewani kama wafanyavyo ndege wengi.

Ndege nao waliposikia hiyo habari wakamuomba ajiunge nao kwa kuwa na yeye ni mmoja wao kwani ana ruka kama wao, Popo kama kawaida yake akawatolea nje kwa kuwaambia kuwa yeye ni mnyama na si ndege kwa sababu ana zaa. Akawauliza "...Mmeona wapi ndege akazaa...!?

Lakini ajabu ilipofika kipindi cha kugawana mapato akataka kupata huku na huku tena bila haya. Upande wa wanyama akajitia yeye ni mnyama, na upande wa ndege akajifanya yeye ndege.

Jamii ya wanyama na ndege wakamshtukia wakamtoa mbio na kumtangazia hukumu ya kifo popote pale atakapo onekana. Na ndio maana mpaka leo anatoka wakati wa usiku tu, kwa kuogopa kushushiwa kipigo kati ya wanyama na ndege.

Wa'nigeria nao wana sifa kama hizo zinazoendana na simulizi niliyo kutolea hapo juu.

Pia bila kusahau wanaitwa 110 (One-Ten) au 1/10 (One over Ten). Na hii ni jinsi walivyo wengi Ulaya na Marekani. Yaani kila alipo Mwafrika mmoja wao wapo 10. (!?)

Habari ndio hiyo mkuu...!


NB:
Tusubiri taarifa na maelezo
toka kwa wachangiaji wengine.
 
Sababu ya TAMAA, UTAPELI na Undumila kuwili wao, ndio maana wamefananishwa na Popo.

Kama wewe ni msomaji wa hekaya na ngano utakumbuka simulizi moja iliyokuwa inahusu ndege na wanyama. Wanyama wakataka msaada kwa Popo, Popo akawatolea nje kwa kudai kuwa yeye ni ndege kwa sababu ana mbawa na ana ruka hewani kama wafanyavyo ndege wengi.

Ndege nao waliposikia hiyo habari wakamuomba ajiunge nao kwa kuwa na yeye ni mmoja wao kwani ana ruka kama wao, Popo kama kawaida yake akawatolea nje kwa kuwaambia kuwa yeye ni mnyama na si ndege kwa sababu ana zaa. Akawauliza "...Mmeona wapi ndege akazaa...!?

Lakini ajabu ilipofika kipindi cha kugawana mapato akataka kupata huku na huku tena bila haya. Upande wa wanyama akajitia yeye ni mnyama, na upande wa ndege akajifanya yeye ndege.

Jamii ya wanyama na ndege wakamshtukia wakamtoa mbio na kumtangazia hukumu ya kifo popote pale atakapo onekana. Na ndio maana mpaka leo anatoka wakati wa usiku tu, kwa kuogopa kushushiwa kipigo kati ya wanyama na ndege.

Wa'nigeria nao wana sifa kama hizo zinazoendana na simulizi niliyo kutolea hapo juu.

Pia bila kusahau wanaitwa 110 (One-Ten) au 1/10 (One over Ten). Na hii ni jinsi walivyo wengi Ulaya na Marekani. Yaani kila alipo Mwafrika mmoja wao wapo 10. (!?)

Habari ndio hiyo mkuu...!


NB:
Tusubiri taarifa na maelezo
toka kwa wachangiaji wengine.

Nashukuru sana ndugu yangu X-P kwa mwanga huu ulionipa angalau nimeanza kupata ufahamu juu ya asili ya jina hili..Asante sana ndugu
 
Sababu ya TAMAA, UTAPELI na Undumila kuwili wao, ndio maana wamefananishwa na Popo.

Kama wewe ni msomaji wa hekaya na ngano utakumbuka simulizi moja iliyokuwa inahusu ndege na wanyama. Wanyama wakataka msaada kwa Popo, Popo akawatolea nje kwa kudai kuwa yeye ni ndege kwa sababu ana mbawa na ana ruka hewani kama wafanyavyo ndege wengi.

Ndege nao waliposikia hiyo habari wakamuomba ajiunge nao kwa kuwa na yeye ni mmoja wao kwani ana ruka kama wao, Popo kama kawaida yake akawatolea nje kwa kuwaambia kuwa yeye ni mnyama na si ndege kwa sababu ana zaa. Akawauliza "...Mmeona wapi ndege akazaa...!?

Lakini ajabu ilipofika kipindi cha kugawana mapato akataka kupata huku na huku tena bila haya. Upande wa wanyama akajitia yeye ni mnyama, na upande wa ndege akajifanya yeye ndege.

Jamii ya wanyama na ndege wakamshtukia wakamtoa mbio na kumtangazia hukumu ya kifo popote pale atakapo onekana. Na ndio maana mpaka leo anatoka wakati wa usiku tu, kwa kuogopa kushushiwa kipigo kati ya wanyama na ndege.

Wa'nigeria nao wana sifa kama hizo zinazoendana na simulizi niliyo kutolea hapo juu.

Pia bila kusahau wanaitwa 110 (One-Ten) au 1/10 (One over Ten). Na hii ni jinsi walivyo wengi Ulaya na Marekani. Yaani kila alipo Mwafrika mmoja wao wapo 10. (!?)

Habari ndio hiyo mkuu...!


NB:
Tusubiri taarifa na maelezo
toka kwa wachangiaji wengine.

hahahahaha hii stori imenifurahisha sana hahahaha.
 
Vile vile kuna Wayuropa wanaoitwa VISHOKA. Hii ni Made in Poland (Polish)
 
Sababu ya TAMAA, UTAPELI na Undumila kuwili wao, ndio maana wamefananishwa na Popo.

Kama wewe ni msomaji wa hekaya na ngano utakumbuka simulizi moja iliyokuwa inahusu ndege na wanyama. Wanyama wakataka msaada kwa Popo, Popo akawatolea nje kwa kudai kuwa yeye ni ndege kwa sababu ana mbawa na ana ruka hewani kama wafanyavyo ndege wengi.

Ndege nao waliposikia hiyo habari wakamuomba ajiunge nao kwa kuwa na yeye ni mmoja wao kwani ana ruka kama wao, Popo kama kawaida yake akawatolea nje kwa kuwaambia kuwa yeye ni mnyama na si ndege kwa sababu ana zaa. Akawauliza "...Mmeona wapi ndege akazaa...!?

Lakini ajabu ilipofika kipindi cha kugawana mapato akataka kupata huku na huku tena bila haya. Upande wa wanyama akajitia yeye ni mnyama, na upande wa ndege akajifanya yeye ndege.

Jamii ya wanyama na ndege wakamshtukia wakamtoa mbio na kumtangazia hukumu ya kifo popote pale atakapo onekana. Na ndio maana mpaka leo anatoka wakati wa usiku tu, kwa kuogopa kushushiwa kipigo kati ya wanyama na ndege.

Wa'nigeria nao wana sifa kama hizo zinazoendana na simulizi niliyo kutolea hapo juu.

Pia bila kusahau wanaitwa 110 (One-Ten) au 1/10 (One over Ten). Na hii ni jinsi walivyo wengi Ulaya na Marekani. Yaani kila alipo Mwafrika mmoja wao wapo 10. (!?)

Habari ndio hiyo mkuu...!


NB:
Tusubiri taarifa na maelezo
toka kwa wachangiaji wengine.

X-PASTER, unaonekana wewe ni mpiga hadithi mzuri sana. Ahsante kwa kutufumbua macho hata mimi hili la Wanigeria kuitwa wapopo nilikuwa sijui limeanzia wapi. Sijui na sisi Watanzania watu wa mataifa mengine wanatuitaje.
 
X-PASTER, unaonekana wewe ni mpiga hadithi mzuri sana. Ahsante kwa kutufumbua macho hata mimi hili la Wanigeria kuitwa wapopo nilikuwa sijui limeanzia wapi. Sijui na sisi Watanzania watu wa mataifa mengine wanatuitaje.

Wa-Kenya wanatuitwa Wa-Bongolala japo tunawaliza kila mara pamoja na "Ubongolala" wetu. iko siku watatujua kuwa sisi sio Bongolala kama wanavyofikiria.
 
Wa-Kenya wanatuitwa Wa-Bongolala japo tunawaliza kila mara pamoja na "Ubongolala" wetu. iko siku watatujua kuwa sisi sio Bongolala kama wanavyofikiria.

Naona dharau ya Wakenya kwetu ni kubwa sana. Afadhali Waganda wanakuwa na heshima (mutual respect). Labda ungenambia tunawaliza nini ili na mimi nifurahi!

Mara nyingi ninapokutana nao huwa wengine wanajifanya wajuaji sana, ila wakigundua wewe ni mkali wao wanaingia mitini! Hata hivyo ni ukweli usiopingika kuwa ipo kazi kubwa kukabiliana na Wakenya katia EAC. Nafurahi sana kwamba angalau tumeanza na msimamo mzuri kuhusu ardhi na pia kuikataa tamaa ya madaraka ya M7. Mara nyingi watu wengine wanajaribu tumia udhaifu wakutojua kimombo kama fimbo ya kutupigia! Lakini kwa mwanzo huu naamini tutakula nao meza moja.
 
Waulizeni mabaharia wa zamani waliokuwa wanafuata meli ugirigi, wao ndo walileta haya majina kama ifuatavyo.

Wagirigi - Wamanga
Waturuki - Mabata
Watanzania - Wabongo
Wamarekani - Wanyamwezi
Wanigeria - Mapopo
 
Naona dharau ya Wakenya kwetu ni kubwa sana. Afadhali Waganda wanakuwa na heshima (mutual respect). Labda ungenambia tunawaliza nini ili na mimi nifurahi!

Mara nyingi ninapokutana nao huwa wengine wanajifanya wajuaji sana, ila wakigundua wewe ni mkali wao wanaingia mitini! Hata hivyo ni ukweli usiopingika kuwa ipo kazi kubwa kukabiliana na Wakenya katia EAC. Nafurahi sana kwamba angalau tumeanza na msimamo mzuri kuhusu ardhi na pia kuikataa tamaa ya madaraka ya M7. Mara nyingi watu wengine wanajaribu tumia udhaifu wakutojua kimombo kama fimbo ya kutupigia! Lakini kwa mwanzo huu naamini tutakula nao meza moja.

hivi hawa wakenya kwa nini wanadharau wabongo wakati wenyewe ni washamba kishenzi yani...yale mademu yao ndiyo duu
kiingereza chao chenyewe mbona cha kawaida tu na class ukikutana nao unawakimbiza vilevile
mimi huwa wananikalia mbali kabisa manake wanajua wakilianzisha basi watakimbia wenyewe.
 
Waulizeni mabaharia wa zamani waliokuwa wanafuata meli ugirigi, wao ndo walileta haya majina kama ifuatavyo.

Wagirigi - Wamanga
Waturuki - Mabata
Watanzania - Wabongo
Wamarekani - Wanyamwezi
Wanigeria - Mapopo

Wanugu
 
Back
Top Bottom