Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Heshi mbele wakuu...Mara nyingi nimekuwa nikisikia hawa jamaa wa Nigeria(hasa waliopo nje ya bara la Afrika) wakiitwa wapopo..Hivi hili neno lina maanisha nini???,ni nini asili yake???,naomba mnijuze hilo wakuu maana linanichanganya...Be blessed