LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Wana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.
Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.
Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.
Ngastuka na machale kundesa
Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.
Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.
Ngastuka na machale kundesa