Wanahistoria na akiolojia (Archeologist) " Moses did not exist

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,126
Wana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.

Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.

Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.

Ngastuka na machale kundesa
 
Wana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.

Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.

Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.

Ngastuka na machale kundesa
Nadharia ya uumbaji ina uwanja wake na haitegemei ushahidi wa kisayansi.Ushahidi wake ni vitabu vya dini na imani ya mtu basi.Corroboration yake Iko kwenye mambo hayo mawili.
 
Wana nzuoni (scholars) wakongwe wa historia na akiolojia wana kubaliana kwamba Moses anae tajwa kwenye bible na Qur'aan hajawahi ku- exist. Ni fictional character yani ni character wa kutungwa.

Wana sema there is no historical Moses. There is only biblical Moses.

Hata ukienda kwenye vitabu vya historia vya Egypt, hakuna records za mtu aitwae Moses kama ilivyo andikwa kwenye bible na Qur'aan.

Ngastuka na machale kundesa
hivi hao wanaechaelogy si ndo wale wanaoweza kupima umri wa mafuvu na mifupa na kutamka miaka yake wakati huo huo wanashindwa kupima umri wa binadamu aliye hai?🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom