Jamiix
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 885
- 548
WanaJF
Nimekutana na wanafunzi wengi sana wakiandamana na mabango yaliyoandikwa
' HATUMTAKI MWALIMU MKUU ' wakielekea kwa mkuu wa mkoa,wamesimamishwa na
Polisi na FFU
eneo la Sakina kwa Idd,Arusha
Wapo viongozi wakubwa wa polisi na defender zao wanawazuia,vijana wamechachamaa
Wanalalama ' TUNATAKA HAKI ZETU,TUMECHOKA KUNYANYASWA '
Shule ya sekondari KIMNYAK
Mwalimu mkuu Chamle
Nawakilisha
Nimekutana na wanafunzi wengi sana wakiandamana na mabango yaliyoandikwa
' HATUMTAKI MWALIMU MKUU ' wakielekea kwa mkuu wa mkoa,wamesimamishwa na
Polisi na FFU
eneo la Sakina kwa Idd,Arusha
Wapo viongozi wakubwa wa polisi na defender zao wanawazuia,vijana wamechachamaa
Wanalalama ' TUNATAKA HAKI ZETU,TUMECHOKA KUNYANYASWA '
Shule ya sekondari KIMNYAK
Mwalimu mkuu Chamle
Nawakilisha