marshal
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 353
- 157
NILISIKITISWA SANA NA KITENDO CHA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUTOWARUHUSU WANAVYUO WALIOKUWA WAMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KUPIGA KURA SEHEM NYINGINE KAMA HAKI YAO YA MSINGI NA KIKATIBA.
KATIBA YA JAMHURU YA MUUNGANO INASEMA YAFUATAYO JUU YA HAKI YA KUPIGA KURA.
"
utaratibu huo"
KATIKA YOTE YALIYOTAJWA NA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA IBARA YA 5 KIPENGELE CHA 3 (C) KINALITAKA BUNGE KUWEKA UTARATIBU WA WATU KUWEZA KUPIGA KURA SEHEMU TOFAUTI NA ZILE WALIZOJIANDIKISHIA.
JAMANI EMBU WATAALAM WA SHERIA MNISAIDIE KWA HILI
KATIBA YA JAMHURU YA MUUNGANO INASEMA YAFUATAYO JUU YA HAKI YA KUPIGA KURA.
"
5
.-(1) Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka
kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi
unaofaywa Tanzania na wananchi. Na haki hii itatumiwa kwa
kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na masharti
mengineyo ya Katiba hii na ya Sheria inayotumika nchini
Tanzania kuhusu mambo ya uchaguzi.
(2) Bunge laweza kutunga sheria na kuweka masharti
yanayoweza kuzuia raia asitumie haki ya kupiga kura kutokana
na yoyote kati ya sababu zifuatazo, yaani raia huyo-
(a) kuwa na uraia wa nchi nyingine;
(b) kuwa na ugonjwa wa akili;
(c) kutiwa hatiani kwa makosa fulani ya jinai;
(d) kukosa au kushindwa kuthibitisha au kutoa
kitambulisho cha umri, uraia au uandikishwaji kama
mpiga kura,
mbali na sababu hizo hakuna sababu nyingine yoyote
inayoweza kumzuia raia asitumie haki ya kupiga kura.
(3) Bunge litatunga Sheria ya Uchaguzi na kuweka
masharti kuhusu mambo yafuatayo-
(a) kuanzisha Daftari la Kudumu la Wapiga kura na
kuweka utaratibu wa kurekebisha yaliyomo katika
Daftari hilo;
(b) kutaja sehemu na nyakati za kuandikisha wapiga
kura na kupiga kura;
(c) utaratibu wa kumwezesha mpiga kura
aliyejiandikisha sehemu moja kupiga kura sehemu
nyingine na kutaja masharti ya utekelezaji wa
kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi
unaofaywa Tanzania na wananchi. Na haki hii itatumiwa kwa
kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na masharti
mengineyo ya Katiba hii na ya Sheria inayotumika nchini
Tanzania kuhusu mambo ya uchaguzi.
(2) Bunge laweza kutunga sheria na kuweka masharti
yanayoweza kuzuia raia asitumie haki ya kupiga kura kutokana
na yoyote kati ya sababu zifuatazo, yaani raia huyo-
(a) kuwa na uraia wa nchi nyingine;
(b) kuwa na ugonjwa wa akili;
(c) kutiwa hatiani kwa makosa fulani ya jinai;
(d) kukosa au kushindwa kuthibitisha au kutoa
kitambulisho cha umri, uraia au uandikishwaji kama
mpiga kura,
mbali na sababu hizo hakuna sababu nyingine yoyote
inayoweza kumzuia raia asitumie haki ya kupiga kura.
(3) Bunge litatunga Sheria ya Uchaguzi na kuweka
masharti kuhusu mambo yafuatayo-
(a) kuanzisha Daftari la Kudumu la Wapiga kura na
kuweka utaratibu wa kurekebisha yaliyomo katika
Daftari hilo;
(b) kutaja sehemu na nyakati za kuandikisha wapiga
kura na kupiga kura;
(c) utaratibu wa kumwezesha mpiga kura
aliyejiandikisha sehemu moja kupiga kura sehemu
nyingine na kutaja masharti ya utekelezaji wa
utaratibu huo"
KATIKA YOTE YALIYOTAJWA NA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA IBARA YA 5 KIPENGELE CHA 3 (C) KINALITAKA BUNGE KUWEKA UTARATIBU WA WATU KUWEZA KUPIGA KURA SEHEMU TOFAUTI NA ZILE WALIZOJIANDIKISHIA.
JAMANI EMBU WATAALAM WA SHERIA MNISAIDIE KWA HILI